Msaada: Mishahara vyuo vikuu Tanzania

Msaada: Mishahara vyuo vikuu Tanzania

mdau mpya

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
474
Reaction score
651
Kwanza nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania.
Nina ndugu yangu yuko nje ya nchi alikuwa akifanya kazi sasa ameomba kazi hapa Tanzania kwenye moja ya vyuo vikuu maana ni PhD holder. Na pia Alipata kazi South Africa japo yeye anapendelea kurudi nyumbani. Sasa anapenda kujua mishahara ya vyuo vikuu kufundisha imekaaje mfano PUTS 3 au 4.

Mwenye kujua msaada mtanzania mwenzetu afanye uamuzi wa maana.

Asante
 
Mshahara wake sidhani kama unavuka net ya 3.5m ila kwa mtu ambaye anaingia huko vyuoni sio tu suala la mshahara, anabidi aangalie uwezekano wa kukua professionalyl na academically. Kwa uelewa wangu mdogo PhD holder ana majukumu matatu akiajiriwa chuoni ambayo ni research, consultancy, teaching.

Ajiulize kati ya huko Afrika ya Kusini na Tanzania
- Ni wapi pana fursa kubwa ya kufanya tafiti (kwamba atapata research funds, na connections kwenye field yake kiurahisi) ?

- Ni wapi kuna uwezekano wa kupata consultancy projects kubwa na kujijenga jina lake ?

- Ni wapi pana uwezekano wa kupata support pale anapotaka kufanya machapisho (publishing) ya matokeo ya tafiti zake.

- Ni wapi pana masharti rahisi zaidi kupanda ngazi kutoka pale alipoajiriwa.

- Ni wapi kuna teaching workload yenye unafuu ili aweze kufanya mambo ya personal growth.

Maisha ya academics yanahitaji ujanja sana wa maisha kutegemea mshahara peke yake kama kigezo cha wapi afanye kazi inaweza kuwa si jambo sahihi.
 
Kwanza nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania.
Nina ndugu yangu yuko nje ya nchi alikuwa akifanya kazi sasa ameomba kazi hapa Tanzania kwenye moja ya vyuo vikuu maana ni PhD holder. Na pia Alipata kazi South Africa japo yeye anapendelea kurudi nyumbani. Sasa anapenda kujua mishahara ya vyuo vikuu kufundisha imekaaje mfano PUTS 3 au 4.

Mwenye kujua msaada mtanzania mwenzetu afanye uamuzi wa maana.

Asante
PhD ya nn? Usikute alisomea Archaeology?
 
Mshahara wake sidhani kama unavuka net ya 3.5m ila kwa mtu ambaye anaingia huko vyuoni sio tu suala la mshahara, anabidi aangalie uwezekano wa kukua professionalyl na academically. Kwa uelewa wangu mdogo PhD holder ana majukumu matatu akiajiriwa chuoni ambayo ni research, consultancy, teaching.

Ajiulize kati ya huko Afrika ya Kusini na Tanzania
- Ni wapi pana fursa kubwa ya kufanya tafiti (kwamba atapata research funds, na connections kwenye field yake kiurahisi) ?

- Ni wapi kuna uwezekano wa kupata consultancy projects kubwa na kujijenga jina lake ?

- Ni wapi pana uwezekano wa kupata support pale anapotaka kufanya machapisho (publishing) ya matokeo ya tafiti zake.

- Ni wapi pana masharti rahisi zaidi kupanda ngazi kutoka pale alipoajiriwa.

- Ni wapi kuna teaching workload yenye unafuu ili aweze kufanya mambo ya personal growth.

Maisha ya academics yanahitaji ujanja sana wa maisha kutegemea mshahara peke yake kama kigezo cha wapi afanye kazi inaweza kuwa si jambo sahihi.
Shukrani mkuu. Take away hapa ni kuwa kwa PhD holder at least atapata 3.5m per month. Nadhani alipenda afanye maamuzi pia kwa kuzingatia mshahara na mambo mengine.
 
Shukrani mkuu. Take away hapa ni kuwa kwa PhD holder at least atapata 3.5m per month. Nadhani alipenda afanye maamuzi pia kwa kuzingatia mshahara na mambo mengine.
Kurudi bongo Ni sawa na kuamua kufanya biashara ya kuuza utumbo sokoni. Nzi hawaepukiki.
 
Back
Top Bottom