Msaada: Mishahara vyuo vikuu Tanzania

Msaada: Mishahara vyuo vikuu Tanzania

Mshahara wake sidhani kama unavuka net ya 3.5m ila kwa mtu ambaye anaingia huko vyuoni sio tu suala la mshahara, anabidi aangalie uwezekano wa kukua professionalyl na academically. Kwa uelewa wangu mdogo PhD holder ana majukumu matatu akiajiriwa chuoni ambayo ni research, consultancy, teaching.

Ajiulize kati ya huko Afrika ya Kusini na Tanzania
- Ni wapi pana fursa kubwa ya kufanya tafiti (kwamba atapata research funds, na connections kwenye field yake kiurahisi) ?

- Ni wapi kuna uwezekano wa kupata consultancy projects kubwa na kujijenga jina lake ?

- Ni wapi pana uwezekano wa kupata support pale anapotaka kufanya machapisho (publishing) ya matokeo ya tafiti zake.

- Ni wapi pana masharti rahisi zaidi kupanda ngazi kutoka pale alipoajiriwa.

- Ni wapi kuna teaching workload yenye unafuu ili aweze kufanya mambo ya personal growth.

Maisha ya academics yanahitaji ujanja sana wa maisha kutegemea mshahara peke yake kama kigezo cha wapi afanye kazi inaweza kuwa si jambo sahihi.
Upo sahihi kabisa, kibongo unaweza kubaki kuwa academician tu wa kufundisha, simply because nchi yenyewe hai value research kabisa hadi uwe na connections na huko nje ya nchi au wale maprofessa ambao tayari wanazo connection za kutosha.....
 
Na mimi nimepata ka PhD kangu hivi karibuni, mwenye uelewa wa nafasi kwenye universities hasa kwenye nchi zetu za kiafrika aweke connections angalau tuweze kukwepa majungu, unafiki na kukatishana tamaa home, bila kusahau ulozi.
 
Upo sahihi kabisa, kibongo unaweza kubaki kuwa academician tu wa kufundisha, simply because nchi yenyewe hai value research kabisa hadi uwe na connections na huko nje ya nchi au wale maprofessa ambao tayari wanazo connection za kutosha.....
Kuna walimu wangu wa chuo niliwahi kuongea nao, niliwaona wana stress za maisha wakati kichwani mwangu nilikua najua jamaa ndio vipanga wakishakuwa na PhD. wanakuwa wameshatoboa kimaisha. Kumbe ni wachache sana wanaotoboa, ishu ni mpaka uwe na connection za research na project za maana n kwa vyuo vyetu zimeshikiliwa na "wakongwe" wanaowazibia vijana hizo nafasi.
 
Zamani kidogo (mwaka 2015) nilikuwa na rafiki yangu ambaye alikuwa Associate Professor pale SUA alikuwa akilalamika kuwa anapata net ya TSh 4m kabla ya PAYE
 
Back
Top Bottom