Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Vyuma vimekaza...Hana lolote! PhD holder anaulizia ngazi ya mshahara mitandaoni!!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyuma vimekaza...Hana lolote! PhD holder anaulizia ngazi ya mshahara mitandaoni!!!!!!!!
Sio net , 3.5m ni basic salaryShukrani mkuu. Take away hapa ni kuwa kwa PhD holder at least atapata 3.5m per month. Nadhani alipenda afanye maamuzi pia kwa kuzingatia mshahara na mambo mengine.
Upo sahihi kabisa, kibongo unaweza kubaki kuwa academician tu wa kufundisha, simply because nchi yenyewe hai value research kabisa hadi uwe na connections na huko nje ya nchi au wale maprofessa ambao tayari wanazo connection za kutosha.....Mshahara wake sidhani kama unavuka net ya 3.5m ila kwa mtu ambaye anaingia huko vyuoni sio tu suala la mshahara, anabidi aangalie uwezekano wa kukua professionalyl na academically. Kwa uelewa wangu mdogo PhD holder ana majukumu matatu akiajiriwa chuoni ambayo ni research, consultancy, teaching.
Ajiulize kati ya huko Afrika ya Kusini na Tanzania
- Ni wapi pana fursa kubwa ya kufanya tafiti (kwamba atapata research funds, na connections kwenye field yake kiurahisi) ?
- Ni wapi kuna uwezekano wa kupata consultancy projects kubwa na kujijenga jina lake ?
- Ni wapi pana uwezekano wa kupata support pale anapotaka kufanya machapisho (publishing) ya matokeo ya tafiti zake.
- Ni wapi pana masharti rahisi zaidi kupanda ngazi kutoka pale alipoajiriwa.
- Ni wapi kuna teaching workload yenye unafuu ili aweze kufanya mambo ya personal growth.
Maisha ya academics yanahitaji ujanja sana wa maisha kutegemea mshahara peke yake kama kigezo cha wapi afanye kazi inaweza kuwa si jambo sahihi.
Anatafuta kujuta tu mwacha ajeNinamshangaa!! Angebaki tu huko bondeni.
Kuna walimu wangu wa chuo niliwahi kuongea nao, niliwaona wana stress za maisha wakati kichwani mwangu nilikua najua jamaa ndio vipanga wakishakuwa na PhD. wanakuwa wameshatoboa kimaisha. Kumbe ni wachache sana wanaotoboa, ishu ni mpaka uwe na connection za research na project za maana n kwa vyuo vyetu zimeshikiliwa na "wakongwe" wanaowazibia vijana hizo nafasi.Upo sahihi kabisa, kibongo unaweza kubaki kuwa academician tu wa kufundisha, simply because nchi yenyewe hai value research kabisa hadi uwe na connections na huko nje ya nchi au wale maprofessa ambao tayari wanazo connection za kutosha.....