Wadau,
Nimekua nikipitia jukwaa hili mara kwa mara, na ukweli hili jukwaa limenishawishi sana kua mkulima. Nimeshanunua Ardhi sehemu mbalimbali, iliyobaki ni kuanza tu kilimo.
Sasa basi, naombeni mnisaidie ni msimu gani ndio mzuri wa zao fulani. Mfano mahindi yanapandwa mwezi gani, maharagwe, Ufuta, mbogamboga kama Nyanya na Hoho, Matikiti, e.t.c.
Mimi kwa elimu yangu ndogo ya kilimo najuaga kila zao linapandwa January na kuvunwa June, lakini nimehisi pia inaweza ikawa sio!!
Mathalan, kama ni kweli mazao mengi yanavunwa June, nakwakua ardhi hizi nimezipata karibia na June, ina maana mshamba yatakaa idle mpaka January?
Ni mazao gani yanaweza kupandwa kuanzia mwezi huu hadi December? Sabasaba niliambiwa kuna Mahindi yanapandwaga October, lakini vipi kilimo kama cha matikiti,nyanya na vitunguu labda??
Mashamba yapo Kilwa 30acres, Kibamba 1Acre, Mlandizi 40 Acre na Kisarawe 30Acre. Ila hili la Kisarawe ni msitu kwa sasa so halifai for immediate use!!
Nimekua nikipitia jukwaa hili mara kwa mara, na ukweli hili jukwaa limenishawishi sana kua mkulima. Nimeshanunua Ardhi sehemu mbalimbali, iliyobaki ni kuanza tu kilimo.
Sasa basi, naombeni mnisaidie ni msimu gani ndio mzuri wa zao fulani. Mfano mahindi yanapandwa mwezi gani, maharagwe, Ufuta, mbogamboga kama Nyanya na Hoho, Matikiti, e.t.c.
Mimi kwa elimu yangu ndogo ya kilimo najuaga kila zao linapandwa January na kuvunwa June, lakini nimehisi pia inaweza ikawa sio!!
Mathalan, kama ni kweli mazao mengi yanavunwa June, nakwakua ardhi hizi nimezipata karibia na June, ina maana mshamba yatakaa idle mpaka January?
Ni mazao gani yanaweza kupandwa kuanzia mwezi huu hadi December? Sabasaba niliambiwa kuna Mahindi yanapandwaga October, lakini vipi kilimo kama cha matikiti,nyanya na vitunguu labda??
Mashamba yapo Kilwa 30acres, Kibamba 1Acre, Mlandizi 40 Acre na Kisarawe 30Acre. Ila hili la Kisarawe ni msitu kwa sasa so halifai for immediate use!!