Msaada Mistubish Rosa 4d34 inachemsha

Msaada Mistubish Rosa 4d34 inachemsha

upeo

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2013
Posts
369
Reaction score
218
Wakuu naombeni msaada gari tajwa hapo juu mistubishi rosa 4d34 ina tubo, inachemsha vibaya, nimebadilisha kila kitu unachokijua wewe mpaka nikaambiwa nibadilishe cilinder head nikabadilisha, na sasa imeengeza tatizo imekuwa nzito, rejeter nimesafisha, feni nimebadilisha, na sasa hivi nimeambiwa nibadilishe rejeter niweke ya njia nne.

Yangu ya mwanzo ni njia mbili, pia hiyo gari inapoendeshwa joto likizidi taa y check engine inawaka na baadae gari inajizima, inabidi ukae kama dakika hivi ukiiwasha inawaka, kwa kweli nishapoteza pesa nyingi naomba msaada mkubwa kwani nihoi wakuu, mpaka wengine sasa hivi wanasema engine imechoka so niibadilishe.

Je, wakuu nipo njia panda naomba msaada wenu shukrani.
 
Wakuu naombeni msaada gari tajwa hapo juu mistubishi rosa 4d34 ina tubo, inachemsha vibaya, nimebadilisha kila kitu unachokijua wewe mpaka nikaambiwa nibadilishe cilinder head nikabadilisha, na sasa imeengeza tatizo imekuwa nzito, rejeter nimesafisha, feni nimebadilisha, na sasa hivi nimeambiwa nibadilishe rejeter niweke ya njia nne..
Haswaa injini itakua imechoka. tatizo kama hilo limenitokea, gari inachemsha hatari, nikapigwa hela mara rejeta, mara fan, mara gasket, mwisho fundi akaniambia nibadili jiko jipya hapa ndio najichanga ninunue jipya pia bliza ilikua inatoa sana.
 
Dah simchezoo wache nijipange mambo y magari haya yanaweza kukutia presha, shukran
 
Naam biashara hizi mtihan sheikh, tunakomaa hivyo hivyo pia kesi z kuchemsha ni nyingi na mafundi hakuna sasa, inabidi uutafite engine nyengine
 
Gari ikipaka joto hadi kuzima hapo cylinder head/kupinda either imesha crack au engine block imepinda...cylinder head mara nyingi hua inapigwa pasi..nenda kapime cylinder head au engine block pia angalia kwenye oil cooler mule kama hakuna kutu, kuoza au maji(coolant) kuvujia himo
 
Sawa mkuu niyafanyia kazi yote hayo shukran
 
Ila cylinder head nimefunga nyengine lakini bado tatizo lipo pale pale
 
Gari ikipaka joto hadi kuzima hapo cylinder head/kupinda either imesha crack au engine block imepinda...cylinder head mara nyingi hua inapigwa pasi..nenda kapime cylinder head au engine block pia angalia kwenye oil cooler mule kama hakuna kutu, kuoza au maji(coolant) kuvujia himo
Huu ndio ushauri wa hio gari akizingatia aje atoe posho
 
Back
Top Bottom