Msaada: Mjamzito akinywa dawa ya Flagil mimba itaharibika?

Msaada: Mjamzito akinywa dawa ya Flagil mimba itaharibika?

YAKUTA

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
413
Reaction score
185
habar wanajamii

samahani naomba kuuliza

kama mwanamke akiwa na ujauzito wa mwezi mmoja ama miwili akinywa dawa ya tumbo ya flagil itasababisha kuharibu hiyo mimba?

nawasilisha
 
mimba ni kitu ambacho kipo very sensitive hasa miezi mitatu ya kwanza first trimister), kwahyo dawa yoyote inaweza kuleta effects kubwa sana, na ndio maana mwanamke mjamzito anashauliwa kupata ushauri wa doctor kabla hajatumia dawa ya aina yoyote.
 
alikuwa na shida gani mpaka atumie hiyo dawa?
ndio inaweza leta hayo madhara
 
alikuwa na shida gani mpaka atumie hiyo dawa?
ndio inaweza leta hayo madhara

alikuwa anasikia maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa hiyo akanywa dawa ya flagil
 
Hebu acheni kutoa mimba ovyo unataka tu upate uhakika kama inatoa mimba ili ufanye hivyo. Toka lini maumivu ya tumbo yakatibiwa na flagyl?
 
Hebu acheni kutoa mimba ovyo unataka tu upate uhakika kama inatoa mimba ili ufanye hivyo. Toka lini maumivu ya tumbo yakatibiwa na flagyl?


What if I have already taken metronidazole during pregnancy?
If you have taken any medicines it is always a good idea to let your doctor know that you are pregnant so that you can decide together whether you still need the medicines that you are on and to make sure that you are taking the lowest dose that works.

Can taking metronidazole in pregnancy cause my baby to be born with birth defects?
A baby’s body and most internal organs are formed during the first 12 weeks of pregnancy. It is mainly during this time that some medicines are known to cause birth defects.

No increased risk of birth defects has been shown in eight large studies of children exposed to metronidazole in the womb.

Can taking metronidazole in pregnancy cause miscarriage?
No increased risk of miscarriage in pregnant women who had taken metronidazole was identified in the one study that has investigated this. Because limited numbers of women taking metronidazole have been studied, more information is needed before firm conclusions can be drawn.
 
alikuwa anasikia maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa hiyo akanywa dawa ya flagil

amekosea sana..hiyo sio dawa ya kuchezea mkuu, , though mtu mwingine anaweza akaitumia na isimsumbue hivyo...ni vyema angepima kwanza ajue nini tatizo
 
Back
Top Bottom