Papai na nanasi wanasema sio matunda mazuri kwa mama mjamzito. ndizi ni nzuri zaidi badala ya papai na inasaidia sana kupata choo kirahisi na kuondoa gasi.
Mjamzito akila japo ndizi mbivu mbili kwa siku pia anajiwekea kinga na magonjwa ya moyo na haswa pressure ambayo ni hatari kwake na mtoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.