Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

Akhsante sana mkuu kwa ushauri wako. Mungu akutunze...
 
Kaka. Naamini hili pia litapita. Mungu atanisamamia. Inshallah
Akhsante kwa ushauri wako.
 
jiaandae kupakwa mafuta hadi utumbo utoke nje iyo kesi haijaisha kirahisi ivo jamaa anakulia timing tu na utanasa tu maan picha zako anazo
jipange ndugu
 
Hapa hamna haja ya wataalam kuja ... maelezo yako unasema mlipendana wenyewe mpaka unatumia ATM CARD ya mwanaume mwezako unajiona kidume...mzee kaa tuu ña huyo mwanamke maana hujui mwanamke ataamua nini baada ya wewe kukataa kuishi nae.acha undezi
 
Hapa hamna haja ya wataalam kuja ... maelezo yako unasema mlipendana wenyewe mpaka unatumia ATM CARD ya mwanaume mwezako unajiona kidume...mzee kaa tuu ña huyo mwanamke maana hujui mwanamke ataamua nini baada ya wewe kukataa kuishi nae.acha undezi
Mmmhhhh! Hapa ndo mnaponichanganya...
 
Kwakweli mwanamke mjinga amevuna alichopanda, japo hii ni chai mimi nimemkubali jamaa kwa kufanya maaumizi ya kiume, huyo Mwanamke hakuwa mke bali ni tapeli la mapenzi na ndio maana badala ya kutafuta suluhu ya ndoa yake amekimbilia kutafuta mali na watoto.
 
Ishi na huyo mwanamke, ukimuacha lolote linaweza kutokea kama sio kujitanguliza mbinguni.
Kuhusu usalama wako/wenu; hama mkoa.​
 
Usimdharau usiyemjua....
 
Mmmhhhh! Hapa ndo mnaponichanganya...
Sasa mkuu apo mm nimekuchanganya nini?..kwani muda wote mko kwenye mahusiano hukujua kua ni mke wa mtu na siku zote haya mambo hua mwisho wake sio mzuri...mm nishakwambia ishi na huyo manzi ila ukae kwa password mana haujui jamaa ake ni kweli kakuchia kiroho safi ama laaah
 
N
Ngoja ni settle kwanza... Akili yangu itulie
 
Ishi na huyo mwanamke, ukimuacha lolote linaweza kutokea kama sio kujitanguliza mbinguni.
Kuhusu usalama wako/wenu; hama mkoa.​
Mkoa nimehama, ntaishi nae kama nikijiridhisha beyond reasonable doubt kwamba wameachana.
 
Naamini atanisamehe tu kaka....
sio rahisi kukusamehe as long atabak na watoto so kila akiwaona anawaza kuna fala kamrubuni mama yao au akioa alafu yule mke amzingue bado atarud kwako kuwa wew ndo chanzo cha yote,bro just run and hide kwa usalama wako sababu jamaa atakuja kwako kwa nguvu,uchungu na hasira nyingi hata kama si leo,hivyo ndivo wanaume tulivyo!
 
Sawasawa. Sasa which is which? Dah! Ngoja nifikirie vizuri nione. Naamini Mungu ataniongoza. Inshallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…