Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

Jitahidi uwe naye karibu, atakuwa anapitia kwenye wakati mgumu sana
Bro! Sio kwamba nakimbia majukumu... Sema nimemuachia mda kama anaweza patana na mme wake wapatane tu. Kama wasipo patana then I will be responsible but for the time being wacha wajaribu kusolve tuone.... That's all
 
Sawasawa. Sasa which is which? Dah! Ngoja nifikirie vizuri nione. Naamini Mungu ataniongoza. Inshallah
huyo mwanamke achana nae mazima....what if jamaa anafanya monitoring mwenendo wenu hata kama utahama mkoa?jua huyo manzi ana ndugu ambao atawasiliana nao hata kama mtakua mmejificha,mbaya kwenu jamaa ana access na hao ndug so lazma tu atajua mliko na siku isiyo na jina utalia kama ndama na hakuna atakae kuokoa!ACHANA NA MKE WA MTU!
 
Mkuu kitaalamu stori iwe fupi tu! Achana na Mke ya mtu! Wanawake wapo wengi! Manung'uniko ya mwanaume mwenzako sio kitu kizuri kabsa!

Kut 20:17
Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wa jirani yako; wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng’ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.

Kumbukumbu 5:21
Usitamani mke wa jirani yako. Usitamani nyumba ya jirani yako au shamba lake, mtumishi wake wa kiume au wa kike, ngʼombe au punda wake, wala kitu chochote cha jirani yako.”
 
Mkuu tumedumu kwenye mahusiano almost 4 years sasa. To be honest alikuwa kama Mke wangu tu. Four years nyingi sana... Na hapo kuna mambo sijataka kuyaweka hadharani.
Kama ameachwa mchukue uishi nae ana watoto wangapi
 
Duh
 
Duh sawa mkuu
 
Pole mzee kwa mtihani saiv kaa utulize kichwa kwanza then utapata majibu sahihi
 
Kula mke wa mtu mwisho mara mbili tu.

Hii ni kwa mabazazi na wazinzi wote.

Usikate kuchomga mzinga litakupata.

Piga one, two , tembea. Acha Alie . Hata Kama ni mzuri kiasi gani!!

Ukitaka kujidai sharukh Khan!! ,Itakucost
 
Ila kuna watu mnazalau sana, mwanaume mwenzio unamfanyia usenge wa namna hivyo, kama ni mim nakutaftia mijuba, ikunyooshe, siku nyingne usirudie. Sasa hapo unataka tukupe mbinu za kukwepa kunywa uji uloukologa mwenyewe.
 
  • Mshahara wa dhambi ni mauti.
  • Maumivu ya kuchukuliwa mke ni makali kuliko ya kuchukuliwa mali.
  • Ukiiba vyaelea ujue vimeumbwa.
Ushauri! Kama vp tafuta wazee/ watu wa heshima waende kwa jamaa kukuombea nsamaha, ili uyabebe majukumu kwa Amani.
  • Mwenye mke akikubali, wakaachame mahakamani.
  • Huyo mkeo aseme wazi mbele ya mahakama kuwa mali alizochuma na jamaa ni mali ya watoto; YEYE ASICHUKUE CHOCHOTE!
 
Bro! Sio kwamba nakimbia majukumu... Sema nimemuachia mda kama anaweza patana na mme wake wapatane tu. Kama wasipo patana then I will be responsible but for the time being wacha wajaribu kusolve tuone.... That's all
Huyo dada hawezi kusamehewa na mume wake.
 
Issue sio kuoa ndugu yangu. Issue huyu ni Mke wa mtu. Namuoaje duh! Mi sijui hata kesho yangu... Inauma sana
Kwani wakati unamchakata hujui kama ni mke wa mtu? ila wee una roho ngumu kama paka, hadi unaenda kulala kwake? hadi watoto wake unawaletea zawadi? Kwa taarifa yako Hao watoto ndo informer wazuri kwa baba yao akirudi toka safarini. Vaa kiatu cha huyo mwanaume mwenzako mkeo afanyiwe hivyo unavyomfanyia ungemfanyia nini mwanaume anayetembea na mke wako? Kwa ufupi hujui tips za kudate mke wa mtu umejipeleka kichwa kichwa
 
Baada ya kumfanya mke wa mtu single mother ndo unakuja na point kwamba utaki kuoa single mother , kwani ulimkuta single mother????????

Wewe ni mwanaume take responsibility of the problems you caused , umeshaharibu ndoa ya watu na unakimbia we ni fala...

Ushauri wangu ukijiridhisha jamaa kweli amempiga chini mchukue mkaishi mkoa mwingine sababu wewe ndo chanzo cha matatizo yote hayo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…