Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

Hakuna ujinga kama kujisifu kuchukua mke wa mtu, bado huwajui wanawake hata robo, iko siku utajuta, hawa ni viumbe wasiotafsirika wala kutabirika.
Sijajisifu na siwezi jisifu... Najuta tu mpaka sasa
 
yeye anadhani imeisha,hajui jamaa ana uchungu kiasi gani!wanaume wenzangu tuheshimiane maana kula mke wa mtu ni dharau kubwa na isiyovumilika kwa mwanaume!
Mungu atusamehe sisi inshallah
 
Punguza Lugha chafu mdogo Angu. Akhsante
Basi nakuombea wakufirimbe !!..wakupake kirainishi kwa kuharibu familia ya watu….
Ao watoto wakianza kuteseka na kuranda randa kisa niww uliharibu hiyo familia
 
Hu
Huwezi ona tatizo mpaka yakupate...
 
Kama jamaa kaenda na mwanamke mwingine kwake,basi beba huyo mwanamke wake,hawezi kufanya lolote,asingeenda na mwanamke mwingine angeishia kumfukuza tu basi ningekwambia usimchukue kabisa ninhatari,lakini huyo beba na mkakae mbali ikiwezekana mkoani
 
Mungu akusamehe kwa kuhamasisha ushoga...
Basi nakuombea wakufirimbe !!..wakupake kirainishi kwa kuharibu familia ya watu….
Ao watoto wakianza kuteseka na kuranda randa kisa niww uliharibu hiyo familia
 
Kama jamaa kaenda na mwanamke mwingine kwake,basi beba huyo mwanamke wake,hawezi kufanya lolote,asingeenda na mwanamke mwingine angeishia kumfukuza tu basi ningekwambia usimchukue kabisa ninhatari,lakini huyo beba na mkakae mbali ikiwezekana mkoani
Nampenda sana, ila sintaweza. Nashukuru Mungu Wamesameheana. Inshallah
 
Tatizo huna ustaarabu mdogo Angu, hivi unadhani nilifanya kwa kupenda? Maisha ni fumbo hujui kesho yako...
Leo kwangu kesho kwako.
Kwaiyo ilikua paap ukaangukia kwene k ya mke wa mtu.
Ukashtuka ukakuta n mke wa mtu ukasema ebu uendelee
Ukachukua na kadi ukaenda kutoa hela zake…
Kifupi we n marioo unapenda kula hela za wanaume wenzio
 
Mi sina muda !! hao ulozoea kuwalia wake watalala na ww
Na lengo LA kuandika hii thread ni kuomba msaada (ushauri) na sio matusi...
Jaribu kuelewa hali ya mwanaume mwenzako kila mtu hufanya kosa na anahaki ya kusamehewa...
Naamini umenielewa.
 
Kwaiyo ilikua paap ukaangukia kwene k ya mke wa mtu.
Ukashtuka ukakuta n mke wa mtu ukasema ebu uendelee
Ukachukua na kadi ukaenda kutoa hela zake…
Kifupi we n marioo unapenda kula hela za wanaume wenzio
Kwahyo umekuja kunitukana?
 
Na lengo LA kuandika hii thread ni kuomba msaada (ushauri) na sio matusi...
Jaribu kuelewa hali ya mwanaume mwenzako kila mtu hufanya kosa na anahaki ya kusamehewa...
Naamini umenielewa.
😂😂😂😂Yaan huyo uliyemkosea hujamuomba msamaha unakuja mtandaoni??
au uliona ID yake huku!!
We mpigie simu au tuma watu waende hapa umeleta usikie watu wanamtazamk gan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…