Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

Wake za watu wameponza wengi, unaenda kuongeza idadi yao.
Jiandae kisaikolojia.
 
Pole Sana , Ila hiyo ni hatua nzuri ya kujitafakari ili kuwa MTU bora.

Tatizo sio wewe na tatizo sio huyo mwanamke

Tatizo hapo lipo ktk kutojua maana ya useful na important.

Mke wa MTU - ni useful ana manufaa Ila sio muhimu , ni Kama gari na miguu yako , miguu ni important muhimu Ila gari lina manufaa useful.




Ushauri.

Njia ya kwanza nikulikubali tatizo na kuomba msamaha then mwambie ukweli huyo mwanamke kuwa hauwezi kumuoa.

Huyo mwanamke na wewe nyote mmetengeneza hatia (guilty) hivyo kuna Deni tayari mnadaiwa na njia ya kulilipa ni nyie kubadilika na kuwa watu wema.

Kuhusu kufatiliwa na kuuliwa n.k huyo mwanaume hatoendelea kukufatilia maana mke wake. Alikuwa useful na sio important alikuwa Ana manufaa Ila sio muhimu. that's why amekuwa replaced.

"You can't sacrifice someone else's life for ur life there's a karma debt has to be paid"

Tunaweza kuwasiliana , ili upate therapy na kujitoa ktk hatia na kuwa innocence - mnyongofu.
 
Kwa ushauri wangu. Huyo mwanamke achana nae ikiwezekana badilisha namba, naelewa hali unayopitia hata mimi yamewahi nikuta kuna jamaa alikuwa anaishi na mwanamke wake. Sema yeye alikuwa hajamuoa ila wamechukuana tu ni kama mke yaani, huyo mwanamke alizaa na huyo mwanaume watoto 2 nili date nae muda mrefu. Jamaa yake akagundua namega tunda lake akanipgia simu akaniambia nichague moja nimuache mkewe au aniletee home. Nilishtuka sana yule mwanamke wake alikuwa king'ang'anizi bahati nzuri, nilipata mishe mkoa mwingine nikahama
 
Hapa nimesoma comments nmekuja na moja kubwa" mwanamke mjinga huibomoa ndoa yake kwa mikono yake hata jamii yake humuona yeye ni mwenye hatia , mwanaume mjinga kuwa na michepuko ni urijali , hata rafiki zake humsifia.."
 
Kwanza huyo mume wake yupo smart kuliko wewe. Pili, huyo mwanamke kaachwa kimtego, watu wa Ball tunasema mwamba anavizia counter attack. Anajua huyo mwanamke ndiyo atakayekuingiza kwenye 18 zake. Ngoja nikupe akili kidogo...

Logically, haiwezekani Mwanamke mwenye stara ya kuwa mke wa mtu akubali kupelekwa kwenye boma ambayo tayari kuna mke mwingine halafu aendelee kukaa hapo baada ya kuona mwenzake anafukuzwa kama mbwa na watoto ananyang'anywa. So it means huyo mwanamke aliyeenda naye hapo kwake sio mke, bali ni mchongo wa kukamilisha plan yake ya kukudaka. Angekua ana mpango wa kumuacha wala asingejaribu kukutafuta toka mwanzo, it means alikua anataka akuchimbe beat umuachie mke wake, sema wewe ukajifanya mjanja. Kwahiyo hisia zako hazikudanganyi. Kuna namna anataka kufanya revenge!

Ushauri, usije ukajaribu kumchukua huyo mwanamke ukaishi naye. Itapendeza kama utabadilisha line na simu as soon as possible na usiwasiliane na huyo mwanamke tena. Ikiwezekana, hama tena hapo ulipohamia sasahivi.

Sema maamuzi yoyote utakayochukua, bado yatakua mafanikio kwenye mpango wa mume wake because it's either amrudie mke wake au akupate wewe. Ila bado nakushauri tena, chukua maamuzi ya kupotea kabisa and never come back to that Family again.

Na uache upumbavu! Mla vya wenzie na vyake huliwa!

Japo story yako imekaa kimchongo, either ni uongo au umeiokota kijiweni. Victim wa kweli wa tatizo asingeandika kama ulivyoandika wewe!
 
Nimependa hii quote.
=

 
Mwambie huyo mwanamke kuwa asikutafute kwa sasa hadi atakuwa amepata talaka. Vyovyote vile bado anaendelea kuwa mke wa mtu hadi talaka itakapotoka.
 
Vijana mtapakwa mafuta ivi ivi mkijiona.
 
Unaharibu ndoa ya watu halafu una omba ushauri? Uko serious kweli? Umesambaratisha familia ya mwanaume mwenzio you deserve lolote litakalo kupata
 
umerudisha card yake kwanza?
anyway muoshwa huoshwa ,ukila vya wenzio nawe utaliwa ... relax subiri kuliwa kiboga hapo mzee cha muhimu kisafishe kwaajili ya jombiii
Kadi niliirudisha jumatano kaka ya tarehe 18
 

Attachments

  • Screenshot_20240421-004642~2.png
    278.8 KB · Views: 12
Asante sana mkuu. Shukhrani sana kwa ushauri kaka, napitia kipindi kigumu sana.... Naamini ntavuka. Inshallah.
 
Asante kwa muongozo mkuu... Mungu akutunze... Asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…