Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

Kilainishi ni muhimu ndugu yangu tembea na mafuta hata kidogo kila uendapo utakuja kunishukuru baadae kwa sababu kwa dhuluma uliyoifanya ni wazi lolote linaweza kukutokea
 
Nimekuelewa ila hapa sio kuna kashfa ila ni unaambiwa kitu really kabisa...

Mungu akuepushe na mabaya yote ndgu yangu....daaaah pole sana kumbe hii mambo ya mafuta inatishia amani aiseee..

Pole
Eh lazma apigwe na kichupa cha Mwamposa 😂 atatuke Marinda rasmi na kuvuliwa ubingwa.
 
acha woga wew mume wangu namjua vzur hawez kukufanya lolote,,we nambie umehamia wapi nije.
 
Ndivyo wanavyo semaga,hatam mimi alikuwa ananiambia hvyo hvyo. "Yule ms+nge tu usimuoge ni muoga sana anakutisha tu, fanya mpango tuende mbali tuishi wote". Nikaona hii jau mimi nilikuwa napunguza uzito sikuwa na lengo la kumuoa japo, alikuwa na shep matata sana ukimuangali unaweza dhani yupo darasa la 7. Kumbe ana watoto wawili
 
Jinga kabisa! Kula umalaya wako. Mke wa mtu sumu ndugu!
 
sema laana na mikosi inataka kuhamia rasmi nyumbani kwako ili itibue amani na furaha katika maisha yako milele 🐒
 
Kula mavuno ya ulichopanda, mliopendana sasa mmeachiwa uhuru
 
Uzinzi haujawahi muacha mtu salama
 
Ndugu zangu naombeni Mnishauri nina shida sana. Yaani dunia imekuwa chungu sana kwangu, naishi kwa kujificha kama mnyama duh! Nimechoka na maisha ya utumwa. (better die free than living as a slave)
You will never die free Wewe si witch hunter now its your turn to be hunted..... Halafu Hayao matumizi mbaya ya msemo damn shit wait to "chewed" with you actions Hunteer 🤣🤣🤣
 
Mkuu kazi yako ilikuw kunywa Energy Drink na kwenda kutomba mke wa mtu ambaye mwanaume mwenzetu amekomaa kulpa mahali ,bill zote za familia yake na zaid nazd hadi chakula ( cha jamaa ulikuw unakul na kumla mpshi , wew ulivuka mstar wa kukosea zaid unazoean had na WATOTO wamshkaji unalala huko,

Huyo mwanamke Astahil mali kbs kwa mwamba wew unapaswa kumjengea na kumpa mtaji,

Au mtAfutie Mganga ili arudiane na mme wake.💡😁😊😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…