Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

Unataka tukushauri usenge wako? Ulimtaka, mjuba kakuachia bila hata kumtia shurba mwilini wataka nini kingine?
 
Mshukuru Sana huyo mwanaume kwa utu na uvumilivu wake kwako maana angekuwa mwingine angekuuwa au hata kukufanya kitu mbaya

Inaonekana alikufatilia kitambo Sana na akajua Kila kitu Ila kwa mapenz mema na ubinadam akaona akuache na ujinga wako Sasa pambana na Hali yako jarbu kufanya namna nzur upate suruhu Ila ukiamua kumkimbia huyo mwanamke utakuwa umetafuta matatzo makubwa Sana
 
Mkuu. Samahani naomba ujaribu kuvaa uhusika wangu... Kesho jumapili yaani... Dah! Sijui hata itaishaje siku ya kesho. Sina amani, duh. Kama una ushauri wa kueleweka nipe tu
Why unawaza tuvae uhusika wako!? Sisi tunavaa uhusika wa yule uliyemtombea mke wake, ilhali unasema pia huna mpango wa kuoa leo wala kesho,!?
 
Kama huna mpango wa kuoa basi ondoa mpango wa kutomba wake za watu,….chukua jamaa kashakuachia.
Unajua umepoteza ramani za watu wangapi hapo maishani.
1.Mwanamke kujutia kwa kuwa utamuacha
2.Watoto kuishi bila ya mama
3.Mwanaume, umemvunjia familia na umekiri kutumia mpaka pesa zake.

Hapo kuna mawili umkatae mwanamke kabisa na ukatae kila kitu hata ukikuttana na jamaa, yaani jiandae kwa vita.

Au umchukue mwanamke na uhame kabisa hata mkoa
 
Ukiachana na umalaya wako unamakosa yafuatayo

(a) Umetumia laini ya mtu kufanya uhalifu TCRA ,kupitia vyombo habari wanakataa sana jambo Hilo nikosa kwa kanuni zao ,ukikamatwa hiyo laini uliyotumia sio jinalako pia umemwingiza mshikaji aliyekusajilia laini kwenye mgogoro wa kikanuni na TCRA(adhabu yake kifungo miaka 5 au faini milioni 5 au vyote kwapamoja

ANGALIZO ,nyie mnaopenda kusajiliwa watu laini zenu kuweni makini na watu ,mfano jamaa angeamua achukue hatua zaidi mwasilika namba Moja kwa kufilwa ni msajili laini

Achana na wake zawatu mashangazi kibao wapo ,ukishindwa kabisa tumieni signal na sio visimu vyenu
 
DON
Dan Zwangendaba hakusikia ushauri wako au hakuhudhuria kikao
 
Mi simtaki tena huyo mwanamke. Nataka tu amani basii. Mambo yaishe
Wewe hivi Mbona ni mpuuzi! Humtaki Kivp wakati ulisema unampenda na mnapendana? Mimi maombi yangu huyo jamaa atakukamata tu na akishakutia mkononi kama ni kweli hii stori utafirwa. Tumeshaona watoto wakiume wakifirwa wanaishia kuwa desperate wanatumia madawa mwisho wanajiua.
Ila ninashangaa mtu aliyepo kwnye situTion kama yako anapata na muda wa kuchat na kujibu watu hivi😂😂😂
 
Mkuu nakuhakikishia lazima ntakuletea mabaunsa wale ilo jicho picha zako zote na chati zako ninazo kwenye simu kama ushaidi ni swala la muda tu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nimekuelewa ila hapa sio kuna kashfa ila ni unaambiwa kitu really kabisa...

Mungu akuepushe na mabaya yote ndgu yangu....daaaah pole sana kumbe hii mambo ya mafuta inatishia amani aiseee..

Pole
ila kuna watu mna ushauri wa kinafiki. Yaani mungu amuepushe vipi wakati anafahamu kabisa na jamaa anakwambia sipokei simu na baada ya jamaa kuondoka akaendelea kuchati na hyo mwanamke. Mimi nasimama na jamaa nataka huyu jamaa afirwe akili imake sawa.
Ila wataalamu wa kusoma stori hii stori ina loopholes nying na imekosa FLOW
 
Umri wako?
?
 
Sema mwenye udhaifu, ni sahihi zaidi. Na sio kupenda bali kutamani.

Haiingii akilini, Huo ujasiri wa kutembea na mke wa mtu unatoka wapi?
.
haiihitaji degree kufhamu hilo.
Hii chai inafurahisha tukisema tuanze kuunga matukio kuonyesha hii chai atakimbia hapa
 
Hadi Credit Card ya Mwamba ulikuwa unaitumia..Aloo jiandae na ulibebe hili..

Kuwa kwenye mahusiano na mke wa mtu ni kujiingiza mwenye kwenye tanuru la moto..
 
Dah!
Mwamba kanikumbusha mbali sana
One day ntakuja na kisa kama hichi ila mimi sikula mke wa mtu ila nlikuwa nae karibu.

KAma wewe ni mzinifu na huwezi acha. Sharti uepuke makundi haya
Wake/waume za watu
Wanafunzi
WAtoto[under 18]
Ukizingatia haya utazini sana na utahukumiwa na Mungu tu ila si mwanadamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…