Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu hili tatizo lilimpata kipindi fulani akiwa mjamzito ikasababisha mimba kutoka sasa naona limerudi tena nini inaweza kuwa tatizo naombeni msaada wenu wa mawazo.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu hili tatizo lilimpata kipindi fulani akiwa mjamzito ikasababisha mimba kutoka sasa naona limerudi tena nini inaweza kuwa tatizo naombeni msaada wenu wa mawazo.
wizara ya afya ina wajibu wa kuhakikisha elimu ya jinsi ya kujieleza kwa daktari inamfikia kila mtanzania..
maelezo machache hivyo hayawezi kusaidia kujua tatizo. niungane na wengine kuwa nenda hospitali