Ni kiungo cha nyonga kinakuwa kimesagika kwa chini, kwa hiyo movemet ya sex inahitaji movement ya kiuno na inamletea maumivu , hii imenikuta kama miaka 8 iliyopita , india hata muhimbili wanakata mfupa wa chini wa kiungio na kuweka chuma, unampa miezi minne , recovery mambo fresh , lakini lazima apite kidogo na physiotherapy n kuhakikisha hanenepi sana kwani anaweza athiri mguu wa pilo, ajaribu kukutumia picha
MAMBO YA "YOGA" WAACHIE WACHINA BHANAHabari wana JF.
NINI KINASABABISHA MWANAMKE KUUMIA HASA MGUU WA KUSHOTO MARA BAADA YA KUMALIZA TENDO LA NDOA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upotofu mtupu umejaa, huu ni ugonjwa, jitahidi sana kuonana na daktari hasa wa viuong na mifupa faster tuu utajua tatizo, nakusihi huu ni ugonjwa na unatibaSimamia mikono mkuu,usimlalie,
Alafu kifo cha mende unamkunja sana miguu,
Fanya sana mazoezi hasa ya pushups.
Sent using Jamii Forums mobile app