Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,740
- 8,751
Habari wanajamvi?
Mambo yasiwe mengi niingie kwenye mada, mke wangu anatatizo la upungufu wa nguvu za kike (yaani ni flat screen) naomba msaada ni dawa gani atumie ili kuongeza nguvu za kike ambayo haina madhara kiafya. Nitashukuru sana nikipata msaada wenu, siombi ya matibabu naomba kujua jina la dawa tuu
Mambo yasiwe mengi niingie kwenye mada, mke wangu anatatizo la upungufu wa nguvu za kike (yaani ni flat screen) naomba msaada ni dawa gani atumie ili kuongeza nguvu za kike ambayo haina madhara kiafya. Nitashukuru sana nikipata msaada wenu, siombi ya matibabu naomba kujua jina la dawa tuu