Msaada: Mke wangu kabadilika tangu Shemeji yake ambaye ni mtoto wa mjomba wangu aje

Msaada: Mke wangu kabadilika tangu Shemeji yake ambaye ni mtoto wa mjomba wangu aje

ze jj

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
497
Reaction score
592
Mke wangu alianza Kama kuwa na matani mengi yasiyo ya kawaida na shemeji yake.

Nikawa mzito kuchukua hatua nikiamini anajitambua..ikafika hatua sasa usiku hanipi penzi yapata wiki 2 anadai hana feelings mara kachoka.

Kiujumla kila story tunayopiga lazima amtaje huyo ndugu yangu. Nini maana yake?

1628584828584.png
 
Hiyo dawa yake ndogo sana kama una hela ya dharula,
Ule ule muda unapo mshika anakataa ondoka kalale Gest alafu unarudi asubuh tena ukiwa na furaha za kutosha hata Kama huna mchepuko!
Hivi vitu vya kukuta used vina itaji akili za ziada kuvitumia.
 
Mke wangu alianza Kama kuwa na matani mengi yasiyo ya kawaida na shemeji yake.

Nikawa mzito kuchukua hatua nikiamini anajitambua..ikafika hatua sasa usiku hanipi penzi yapata wiki 2 anadai hana feelings mara kachoka.

Kiujumla kila story tunayopiga lazima amtaje huyo ndugu yangu. Nini maanake?
Chunguza utapata majibu. Weka mitego utajua mbivu na mbichi
 
Hivi threads kama hizi mnazileta kiutaniutani au mnamaanisha?
 
Mwenzio kakuzidi mbuno, kahhusa vigoroli, anamsugua saana yule msanii SIMI.. Mwezio ana mioango miji.. Uf u cnnt beat them, join them.. Muite faragha akupoe mipango miiji

[emoji23] [emoji23]
Umechapia mno mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom