Nowadays age is just a number,Kwa hiyo unatoa taarifa, unaomba ushauri au unataka nini? Una miaka mingapi?
Chunguza utapata majibu. Weka mitego utajua mbivu na mbichiMke wangu alianza Kama kuwa na matani mengi yasiyo ya kawaida na shemeji yake.
Nikawa mzito kuchukua hatua nikiamini anajitambua..ikafika hatua sasa usiku hanipi penzi yapata wiki 2 anadai hana feelings mara kachoka.
Kiujumla kila story tunayopiga lazima amtaje huyo ndugu yangu. Nini maanake?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mume wa aina yako,kuto-mbewa lazima...
Umechapia mno mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]Mwenzio kakuzidi mbuno, kahhusa vigoroli, anamsugua saana yule msanii SIMI.. Mwezio ana mioango miji.. Uf u cnnt beat them, join them.. Muite faragha akupoe mipango miiji
[emoji23] [emoji23]
Mzee simu imekula mweleka wa ki john cena, touch ishaanza kuleta magumashi, nikitype nijitulize kama nanyolewa VUZI.Umechapia mno mkuu [emoji16][emoji16][emoji16]