Hakuna hospital maeneo unayoishi? Au umetaka uonekane umeandika jf huko ukimdhalilisha mkeo!!Habari wataalam wa Afya.
Naomba kusaidiwa hili tatizo,mke wangu alijifungua toka mwezi wa 10 mwanzoni,cha kushangaza damu ilikata halafu ikarudi tena kubleed.
Damu inatoka kila akifanya kazi yoyote ya kuinama au kukaa kwa muda mrefu.
Tatizo ni nini waku?
Hatujawahi kushiriki tendo lolote la ndoa
Hafanyi mazoezi ya aina yoyote alikua anatumia njia ya asili tu ya kufunga nguo tumbo.Damu inatoka akifanya kazi km ya kufua au akisafiri kwenye gari...damu inarudi tenaWengine wanafanya mazoezi ya kurudi aha tumbo wakati hawajapona vizuri but muone daktari
Kwa wengi damu hukauka baada ya wiki sita, wiki 12 ni muda mrefu muone daktari.Hafanyi mazoezi ya aina yoyote alikua anatumia njia ya asili tu ya kufunga nguo tumbo.Damu inatoka akifanya kazi km ya kufua au akisafiri kwenye gari...damu inarudi tena