WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,433
- 1,442
Habari wataalam wa Afya.
Naomba kusaidiwa hili tatizo,mke wangu alijifungua toka mwezi wa 10 mwanzoni,cha kushangaza damu ilikata halafu ikarudi tena kubleed.
Damu inatoka kila akifanya kazi yoyote ya kuinama au kukaa kwa muda mrefu.
Tatizo ni nini waku?
Hatujawahi kushiriki tendo lolote la ndoa
Naomba kusaidiwa hili tatizo,mke wangu alijifungua toka mwezi wa 10 mwanzoni,cha kushangaza damu ilikata halafu ikarudi tena kubleed.
Damu inatoka kila akifanya kazi yoyote ya kuinama au kukaa kwa muda mrefu.
Tatizo ni nini waku?
Hatujawahi kushiriki tendo lolote la ndoa