Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moto, yaani ukimpelekea moto kisawasawa hata umdunde migumi ya macho lakini lazima kesho akufate.Wanawake ni complex creatures, hawampendi mtu anayemjali sana Bali huyo aliyekua anamnyanyasa
Hii story ulishuhudia au ulisimuliwa?mwanaume wake alikua ni mtu wa kumnyanyasa sana.
mwanaume wake alikua ni mtu wa kumnyanyasa sana.
Kama hukuwepo wakati wa mahusiano yake, sehemu kubwa ulipangwa ukapangika, unachoona sasa ni matokeo. Pole Mkuu.ni miaka 6 sasa mwanaume hajawahi hata kupiga simu kuulizia wanae
Unataka kuoa mke wa mtu. Usitarajie hali hizi zitabadirika ndani ya ndoa mkuu hakuna muujiza huo. Unayoyaona sasa ni machache ya yajajo ndani ya ndoa.Nifanye Nini Nataka Kumuoa Lakini Bado Anawasiliana Na X Wake?
Ntamani kujua zaidi hasa kusikia kwa wanawake, mimi ni kijana wa miaka 32 sijaoa ila nina mpenzi wangu ambaye niko naye kwenye mahusiano kwa miaka minne sasa. Wakati nakutana na huyu Dada alikua ametoka kwenye ndoa yake, mwanaume wake alikua ni mtu wa kumnyanyasa sana...
Kuna kitabu kinaitwa HOW TO MAKE WOMEN CHASE YOU,.. Kuna sehemu kinasema WOMEN LIKE REAL MEN ALPHA MALES na pengne panasema NICE GUYS FINISH LAST IF THEY EVER FINISH AT ALL....Nimerudi sasa hiyo ni kweli kabisa wanawake wanapenda majitu magomvi,malevi mavuta bhangi ukiwa katekista itakula kwako...nimeielewa hii nakazia zaidi.
Mwanaume mwenyewe hana msimamo na maamuzi ya kiume, mke kamzidi akiliIshi nae ila usimuoe muda wowote kitanuka hapo
Au vyote viwiliBro nikuambie tu ukweli kuhusu wewe ambao labda huujui.
Ni hivi
Wewe ama Umechanganyikiwa au umerogwa.