Msaada: Mke wangu mtarajiwa anawasiliana na ex wake, nifanyeje?

wewe si ndugu yangu lakini naomba namba ya simu nikutafute nikutandike makofi labda yanaweza kukurejeshea ufahamu wa wanachokiona jamaa zako akiwemo mama yako.
 
Na wewe nenda ukawe "mke mtarajiwa" wa X wake


KAMA SIO BIKRA USIOE
 

Vipi huyu mke wako mwingine ulimuacha
 
Umeandika Utopolo utagongewa sana tunawakataza kuoa mnavimba kingese nenda kafie mbele
 
Achana naye huyo mkuu...Bora nusu Shari kuliko shari kamili kaanaye mbali tafuta mwanamke mwingine.
 
Ondoa kabisa Nia ya kumuoa. Then jiweke bize na mishe zako .. unless unataka matatizo wewe ni kama third party hata ukimuoa mume. Wa zamani ana nafasi kubwa sana kwake .. .. ushauri mzuri tafuta Binti mdg chini ya 25yrs huwa Wana utoto mwingi lakini ukiwa mwanaume atkuwa mke Bora kwako huyo abaki kama bestie tu
 
Usenge mtupu mpuuz mkubwa wewe

Chai
 
Unaoaje mke wa mtu kijana wamekosa mabinti au ndio mistari imeishia hapo
 
ww Omopa ni taira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…