Shule ya sekondari mnacho iliyopo wilayani Ruangwa mkoani Lindi, inahitaji msaada wa haraka ili kuwasaidia wanafunzi wanaosoma kwa shifti kutokana na balaa la kimbuga kilichoikumba shule hiyo tarehe 10 feb 2012, pia nyumba moja ya mwalimu nayo iliezuluwa na kimbuga hicho...
View attachment 47164 View attachment 47165 View attachment 47166
naomba kuwasilisha...
View attachment 47164 View attachment 47165 View attachment 47166
naomba kuwasilisha...