ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Wakuu haya maisha bila kushikwa mkono na mtu akuchomeke kwenye system fulani ya mzunguko wa hela kwa kweli inakuwa ngumu Sana kuzikamata.ukisema ukomae Sana kivyako vyako utapata taabu sana utaishia TU kumulika mulika 2000,5000 ambavyo vinaishia kwenye kula Basi lakini hela ya maendeleo yako hupati,hujengi hata nyumba ukizubaa
Kwa hiyo wakuu Mimi nimekuja mbele yenu mnifundishe nyie mnafanyaje fanyaje kupata hii kitu inayoitwa pesa.
Hata Kama Ni mbinu haramu nyie niambieni Mimi nipo tayari kufanya chochote ilmradi kisiwe Cha hatari Sana mpaka kusababishia aidha kifo au kupeleka kufungwa jela.
Hata Kama Ni ushirikina upo wa kupiga hela nielekezeni usiwe tu wa kutoa kafara uwe uchawi wa kawaida hata Kama Ni kutembea na li jini mfukoni nipo tayari kutembea nalo au Kama Kuna mission ipo ya kumwibia tajiri mahela niambie Ila huyo tajiri uwe na uhakika Hana pisto au bunduki.
Kwa hiyo wakuu Mimi nimekuja mbele yenu mnifundishe nyie mnafanyaje fanyaje kupata hii kitu inayoitwa pesa.
Hata Kama Ni mbinu haramu nyie niambieni Mimi nipo tayari kufanya chochote ilmradi kisiwe Cha hatari Sana mpaka kusababishia aidha kifo au kupeleka kufungwa jela.
Hata Kama Ni ushirikina upo wa kupiga hela nielekezeni usiwe tu wa kutoa kafara uwe uchawi wa kawaida hata Kama Ni kutembea na li jini mfukoni nipo tayari kutembea nalo au Kama Kuna mission ipo ya kumwibia tajiri mahela niambie Ila huyo tajiri uwe na uhakika Hana pisto au bunduki.