MSAADA: Mpenzi wangu anatoa harufu sehemu za siri

Mwanamke hawezikupata hili tatizo kama sio malaya yaan anajihusisha na multiple partners bila kinga
 
NI MARA NGAPI UMEISIKIA HARUFU HIYO
 
**** yoyote inanuka. Mwanamke.yoyote hapa aende akaioshe alafu ajiingize kidole aisikilizie.
Kama ikitoka kuoga tu inanuka sembuse ikigongwa. Sio ugonjwa huo ni alufu ya kawaida tu
 
Mi ktk suala ambalo siwezi kuvumilia hata kwa sekunde ni haruku mbaya ya K,

Kiukweli sinaga uvumilivu ktk hili.
 
**** yoyote inanuka. Mwanamke.yoyote hapa aende akaioshe alafu ajiingize kidole aisikilizie.
Kama ikitoka kuoga tu inanuka sembuse ikigongwa. Sio ugonjwa huo ni alufu ya kawaida tu
K hainuki bali inanukia, mi ile harufu sio siri huwa naipenda. Ila kuna wengine zinanuka, but kwa wenye Ph 7.0 huwa safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…