Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayo?Fanya mambo mengine.
Hapo tayr kuna muuhuni anatikisa nyavu taaratibuKipindi cha nyuma mawasiliano haipiti siku bila kukutafuta zaidi ya mara tano au sita yaani asubuhi, mchana, jioni na usiku mtaongea mpka unachoka lakini saivi ni morning greetings atakucheki na usiku kabla ya kulala atanicheki kunisalimia na kunitakia Gu9t
Lakini nikimpigia simu ikikata hanipigi mpka nijiunge tena nimpigie tofauti na zamani salio langu lilikata basi huyo ananipigia simu anaongea na mimi,
Siku ikitokea anakutafuta ile sana basi baada ya mida tukishamaliza kuongea atanipiga kizinga cha vocha au hela ya kula
Nifanye nini ndugu wana jf nashidwa kuelewa mchumba hana time sana na mimi siku hizi nifanye nini ili kumfikishia ujumbe mpenzi wangu ujumbe aelewe kuwa amebadilika naumia anavyojiweka mbali na mimi
Kuna mambo mengi ya kufanya mbali na mapenzi.Anayo?
🤣🤣🤣Nilisikia sehemu eti "jino kwa jino" watu wanatumisemo bwanaa. Sijui na wewe unaweza kujaribu kukatumia😁
IlikuwajeMkuu popote ulipo tambua haupo pekeyako hata kwangu ilinitokea mwaka jana tangu huu ulivoingia simtafuti na wala yeye hanitafuti.
Mimi Ni mwanaumeWew ni Me au Ke ? Tuanzie hapo kwanza
Ya Kweli haya?Kuna dawa ya kupaka amakalio inaitw pumbule, itafute kwenye agroveti iliyo mkaribu nawe kampake, hatokuacha kamwe, kazi yetu sisini kuisaidia dunia na vyote vilivyomo ndani