proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,479
- 1,348
Wakuu,
Habarini za asubuhi,
Jana wakati nipo mazoezini nilipigwa mpira uliokuja kwa nguvu kichwani mpaka nikajisikia kizunguzungu lakini baada ya sekunde chache nikaendelea na game mpaka tulipomaliza, kutoka hapo nikarudi mojakwamoja home na kupiga maji ya baridi ila sasa bado najisikia kichwa kizito na kinauma kwa mbali na kizunguzungu kipo lakini kwa mbali sana.
Wataalam wa mambo kama haya naombeni ushauri nifanye nini au nitumie dawa gani kwa hii hali niliyokuanayo?
Habarini za asubuhi,
Jana wakati nipo mazoezini nilipigwa mpira uliokuja kwa nguvu kichwani mpaka nikajisikia kizunguzungu lakini baada ya sekunde chache nikaendelea na game mpaka tulipomaliza, kutoka hapo nikarudi mojakwamoja home na kupiga maji ya baridi ila sasa bado najisikia kichwa kizito na kinauma kwa mbali na kizunguzungu kipo lakini kwa mbali sana.
Wataalam wa mambo kama haya naombeni ushauri nifanye nini au nitumie dawa gani kwa hii hali niliyokuanayo?