Msaada : Mrisho ni jina la Kiislamu, Kiyahudi, Kikristu au kikabila?

Msaada : Mrisho ni jina la Kiislamu, Kiyahudi, Kikristu au kikabila?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Nimepata mtoto nataka kukapa hili jina, nilikuwa nataka nijue kwanza asili yake.
Hivi hili jina lina asili ya wapi?
Maana kuna watu kadhaa nawafahamu wanatumia hili jina, wengine ni waislaam, wengine ni wakristu, wengine ni waha na wengine ni wakwere na wengine ni wahindi nk.
Au ndio jina la kiswahili kama Kulwa na Dotto.
Nilipenda nipate asili ya jina hili tafadhali.
 
Nimepata mtoto nataka kukapa hili jina, nilikuwa nataka nijue kwanza asili yake.
Hivi hili jina lina asili ya wapi?
Maana kuna watu kadhaa nawafahamu wanatumia hili jina, wengine ni waislaam, wengine ni wakristu, wengine ni waha na wengine ni wakwere na wengine ni wahindi nk.
Au ndio jina la kiswahili kama Kulwa na Dotto.
Nilipenda nipate asili ya jina hili tafadhali.
Mrisho mpotho.
Atakuwa anatembea peku wee shauri yako
 
Ngoja wanyamwezi waje kujibu
 
Mrisho ni jina la kinyamwezi
 
Pamoja na yote ila nakushauri ujue ni nini maana ya jina hili pia.
 
Nimepata mtoto nataka kukapa hili jina, nilikuwa nataka nijue kwanza asili yake.
Hivi hili jina lina asili ya wapi?
Maana kuna watu kadhaa nawafahamu wanatumia hili jina, wengine ni waislaam, wengine ni wakristu, wengine ni waha na wengine ni wakwere na wengine ni wahindi nk.
Au ndio jina la kiswahili kama Kulwa na Dotto.
Nilipenda nipate asili ya jina hili tafadhali.
Una akili sana kutaka kumpa mwanao jina la asili ya kwake si haya majina tuliyoletewa na hizi dini za watu na ndiyo maana wengi wetu wamekuwa wehu kurithi laana za watu kupitia haya majina/dini.
 
Mpe jina kama la mkuu wa wilaya ya Ilala....
Ng'wilabuzu litamfaa sana kijana wako.
 
Nimepata mtoto nataka kukapa hili jina, nilikuwa nataka nijue kwanza asili yake.
Hivi hili jina lina asili ya wapi?
Maana kuna watu kadhaa nawafahamu wanatumia hili jina, wengine ni waislaam, wengine ni wakristu, wengine ni waha na wengine ni wakwere na wengine ni wahindi nk.
Au ndio jina la kiswahili kama Kulwa na Dotto.
Nilipenda nipate asili ya jina hili tafadhali.
Kwani yule mrisho wa akili za kuambiwa changanya na zako ni mkristo au ni mwislamu! Asili yake pia ni BWAGAMOYO
 
Back
Top Bottom