msaada msaada jamani

kiye

Senior Member
Joined
Apr 28, 2012
Posts
117
Reaction score
25
Jamani mimi ni mwalimu nilyepangiwa katika halmashauri fulani lakini sikuwa na transcrip hivyo sikupokelewa/sikuaajiriwa na kuambiwa ntapokelewa pale ntakapoleta hyo transcript na chuoni niliambiwa mpaka september, Je hivi inawezekana nikapokelewa transcript ikiwa tayari na kama cjapokelewa natakiwa nifanye nini? Msaada wenu tafadhari.
 
ucjali hiyo kesi ni ya watu wengi kuna jamaa yng ilimtokea mwaka jana alisubiri akapatiwa transcript akaripoti na kupokelewa vzr. Pole ndugu
 
ucjali hiyo kesi ni ya watu wengi kuna jamaa yng ilimtokea mwaka jana alisubiri akapatiwa transcript akaripoti na kupokelewa vzr. Pole ndugu

Asante ndugu, nashukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…