mwanaharakati7
Member
- Apr 22, 2011
- 7
- 3
Anza kuoga vizuri na kusafisha kinywa chako vizuri zaidi.
soma kwanza, wew bado mdogo.Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 23,ninampenz wangu ambaye tumeishi naye karibia miaka miwili kwa sasa,tunaishhi vizuri sana pia huwa mara nyingi tunafanya mapenzi vizuri na tunaridhishiana lakini siku hizi nahisi nina tatizo kwa sababu kila nikikutana naye huwa na ejaculate mapema sana kabla ya kumridhisha,mwanzoni sikuwa hivi kabisa.Naombeni msaada ndugu zangu nifanye nini?
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 23,ninampenz wangu ambaye tumeishi naye karibia miaka miwili kwa sasa,tunaishhi vizuri sana pia huwa mara nyingi tunafanya mapenzi vizuri na tunaridhishiana lakini siku hizi nahisi nina tatizo kwa sababu kila nikikutana naye huwa na ejaculate mapema sana kabla ya kumridhisha,mwanzoni sikuwa hivi kabisa.Naombeni msaada ndugu zangu nifanye nini?
Mimi ninampenz wangu ambaye tumeishi naye karibia miaka miwili kwa sasa,tunaishhi vizuri sana pia huwa mara nyingi tunafanya mapenzi vizuri na tunaridhishiana lakini siku hizi nahisi nina tatizo kwa sababu kila nikikutana naye huwa na ejaculate mapema sana kabla ya kumridhisha,mwanzoni sikuwa hivi kabisa.Naombeni msaada ndugu zangu nifanye nini?
Tobaaa...unaomba msaada halafu unajisaidia mwenyewe kabla haujasaidiwajaribu kufanya mazoezi kwa nguvu na kula vizuri
Anza kuoga vizuri na kusafisha kinywa chako vizuri zaidi.
Hii kali kuliko, alisahau akajishauri bila kuingia na ile id nyengine!...Tobaaa...unaomba msaada halafu unajisaidia mwenyewe kabla haujasaidiwa
songíto;3456524 said:duuuu, sijawahi ona, yani wewe una matatizo halafu unajishauri mwenyewe?
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa umeonaeeTobaaa...unaomba msaada halafu unajisaidia mwenyewe kabla haujasaidiwa