Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,970
hahahahahha kashweshwee unajishauri mwenyewe tenajaribu kufanya mazoezi kwa nguvu na kula vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahha kashweshwee unajishauri mwenyewe tenajaribu kufanya mazoezi kwa nguvu na kula vizuri
Kama ni hivi basi kujiunga kuwe kuna gharama flani ziwe zinatozwa maana it doesn't mek sense kabisa, I.d mbili za kazi gani sasa, shame on them..Hii kali kuliko, alisahau akajishauri bila kuingia na ile id nyengine!...
Ndio mana MMU inaboa siku hizi manake watu wako busy kutunga hadithi na kuzifanya ni matatizo serious, watu wanajipinda kumwaga maushauri kumbe walaaaaaaa!,.. Bora NN hajaumiza kichwa lol.
Umeonae? Huo mda wa kuzitumia zote sijui unatoka wapi? Afu haileti raha kuanzisha mada na kuichangia peke yako... Ni kukosa kazi kabisa J ' B..Kama ni hivi basi kujiunga kuwe kuna gharama flani ziwe zinatozwa maana it doesn't mek sense kabisa, I.d mbili za kazi gani sasa, shame on them..
Tatizo hili mara nyingi ni la kisaikolojia zaidi. Kuna njia nyingi sana za kutatuta tatizo hili ila ni ngumu kuzimwaga hapa maana hili si jukwaa la kikubwa. Waone washauri wa saikolojia na mambo ya ndoa na mahusiano watakusaidia.
Kweli mzazi bapa ni noumaaaaaaaaa!!ngoma inasimama balaa,kama ni ndomu inakuwa hatarini kupasuka na kama unapiga kavu kubabake mpaka para linauma nyooooooooooo!!!!!!Hapo piga bapa ndo mpango mzima.
Anza kuoga vizuri na kusafisha kinywa chako vizuri zaidi.