Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Kwa hio mapungufu ya mwenzako umeamua kuyaweka hadharani
Kwanini umezunguka sana na maelezo mengine useless
Kwa nini usiseme hivi
"msaada dawa ya kuzuia kukojoa kitandani "
Sio vizuri kusemana hivo
Hio ni roho mbaya ikemee
Matatizo ya mwenzako vumilia huku ukitafuta suluhisho taratibu
Lazma ajiskie vibayaTena ukute huyo mama ni mwana JF
Mwana chuo, alafu ndo unaleta huu ushuzi wa kumuanika mtoto wa watu hapa? Je kama na yeye yupo hapa atajisikiaje? Kwanza unasoma kozi gani hapo chuo?Wana jamvi habari za jumapili
Ndugu zangu nipo na dem yapata miaka miwili sasa mkali kinoma macho yake kama anasinzia mweupe kidogo kiuno chake si mchezo tatizo kikojozi.
Mwanzoni ckujua kama ana tatizo ilo mpaka juzi alipochaguliwa chuo ninachosoma mm tukakubaliana tuchukue chumba nje ya hostel za chuo tukae pamoja
Kwa bed yuko vizur mno anazungusha kiuno kama feni bovu kama ww ni mgeni kwa ile tamtam basi utataja yale majina yote 99 ya muumba mbingu na ardhi.
Yani ikipita cku mbili hajakojoa basi jua ya tatu unaoga kojo imekua tabu kwa kweli adi washikaji cwapeleki getto cku izi tabu tupu
Leo nimemwambia narudi zangu hostel za chuo akae peke yake basi kalia adi uruma
Msaada jamani anayejua dawa ya kuzuia hii kitu ili ata wale watakao kuja kutafuna apo badae wasikutane na balaa ili
Lazma ajiskie vibaya
Me zaman kidogo kulikuwa na house girl flani wa jiran yetu nilikua nakula mzigo tatizo moja alikuwa anatoa harufu kwenye zaga
Sasa kuna siku nikawa nawahadithia washkaj kuhusu huyo demu si unajua ukuaji tena
Bahati mbaya demu akajaga kusikia hizo stori aiseee alilia week nzima akanandikia barua kunilaumu
Kwnn simsitiri mambo yake binafsi. Alinambia mengi tokea siku hio nikajifunza kuchukuliana poa katika mapungufu sikuwah kuwa na tabia ya kihivyo mbaya tokea hapo
Na kumbuka alisisitiza nimweshim huyo ninayemwita mpenzi kwani ndo mtu anayeumia juu yako Baada ya wazaz wako
Sina nia ya kundhalilisha hapana ila ni kuweza kumsaidia mnachukulia poa ila ni tatizo kwel yan nisaidien tibaLazma ajiskie vibaya
Me zaman kidogo kulikuwa na house girl flani wa jiran yetu nilikua nakula mzigo tatizo moja alikuwa anatoa harufu kwenye zaga
Sasa kuna siku nikawa nawahadithia washkaj kuhusu huyo demu si unajua ukuaji tena
Bahati mbaya demu akajaga kusikia hizo stori aiseee alilia week nzima akanandikia barua kunilaumu
Kwnn simsitiri mambo yake binafsi. Alinambia mengi tokea siku hio nikajifunza kuchukuliana poa katika mapungufu sikuwah kuwa na tabia ya kihivyo mbaya tokea hapo
Na kumbuka alisisitiza nimweshim huyo ninayemwita mpenzi kwani ndo mtu anayeumia juu yako Baada ya wazaz wako
Wana jamvi habari za jumapili
Ndugu zangu nipo na dem yapata miaka miwili sasa mkali kinoma macho yake kama anasinzia mweupe kidogo kiuno chake si mchezo tatizo kikojozi.
Mwanzoni ckujua kama ana tatizo ilo mpaka juzi alipochaguliwa chuo ninachosoma mm tukakubaliana tuchukue chumba nje ya hostel za chuo tukae pamoja
Kwa bed yuko vizur mno anazungusha kiuno kama feni bovu kama ww ni mgeni kwa ile tamtam basi utataja yale majina yote 99 ya muumba mbingu na ardhi.
Yani ikipita cku mbili hajakojoa basi jua ya tatu unaoga kojo imekua tabu kwa kweli adi washikaji cwapeleki getto cku izi tabu tupu
Leo nimemwambia narudi zangu hostel za chuo akae peke yake basi kalia adi uruma
Msaada jamani anayejua dawa ya kuzuia hii kitu ili ata wale watakao kuja kutafuna apo badae wasikutane na balaa ili
Dawa gan mkuu maana kwa maneno yke kaishaenda hospital hajapata tiba maana alisoma marry gollet uko moshi wakataka kumfukuza uko ila baada ya makubaliano na uongozi wa shule ikabid wazee wawe wanabadilisha godolo kila mwisho wa mwezAna tatizo katika mfumo wake wa fahamu. Kuna dawa ambazo akinywa zinaweza kumsaidia... Pole. Maisha ya mahusiano yanahitaji uvumilizu...
Dawa gan mkuu maana kwa maneno yke kaishaenda hospital hajapata tiba maana alisoma marry gollet uko moshi wakataka kumfukuza uko ila baada ya makubaliano na uongozi wa shule ikabid wazee wawe wanabadilisha godolo kila mwisho wa mwez
ExactlyNilisikia ukichemsha ndevu za mahindi then unakunywa maji yake ndio dawa jaribu mkuu
Wana jamvi habari za jumapili
Ndugu zangu nipo na dem yapata miaka miwili sasa mkali kinoma macho yake kama anasinzia mweupe kidogo kiuno chake si mchezo tatizo kikojozi.
Mwanzoni ckujua kama ana tatizo ilo mpaka juzi alipochaguliwa chuo ninachosoma mm tukakubaliana tuchukue chumba nje ya hostel za chuo tukae pamoja
Kwa bed yuko vizur mno anazungusha kiuno kama feni bovu kama ww ni mgeni kwa ile tamtam basi utataja yale majina yote 99 ya muumba mbingu na ardhi.
Yani ikipita cku mbili hajakojoa basi jua ya tatu unaoga kojo imekua tabu kwa kweli adi washikaji cwapeleki getto cku izi tabu tupu
Leo nimemwambia narudi zangu hostel za chuo akae peke yake basi kalia adi uruma
Msaada jamani anayejua dawa ya kuzuia hii kitu ili ata wale watakao kuja kutafuna apo badae wasikutane na balaa ili
afu pia akipata mkojo ajaribu kuacha kwa muda mrefu ili kibofu kizoee mikimiki ya kuhifadhi mkojo(nazungumzia mchana)pia alambe asali kabla ya kulala itamsaidiaKweli wewe ni janga la kitaifa kama sio JIPU. Wewe badala ya kumsaidi unakuja kubwabwaja huku jf! Any way kikubwa ninachoweza kukushauri ni hiki, mida ya usiku aepuke kutumia vitu vya maji maji eg maji, soda, ..................... kwa sababu vitu hivi ndivyo vinavyomfanya akojoe kitandani. Mpende kama unavyoipenda papuchi yake.