Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Wana jamvi habari za Jumapili,
Ndugu zangu nipo na msichana yapata miaka miwili sasa mkali kinoma macho yake kama anasinzia mweupe kidogo kiuno chake si mchezo tatizo kikojozi.
Mwanzoni sikujua kama ana tatizo ilo mpaka juzi alipochaguliwa chuo ninachosoma mimi tukakubaliana tuchukue chumba nje ya hostel za chuo tukae pamoja
Kwa bed yuko vizuri mno anazungusha kiuno kama feni bovu kama wewe ni mgeni kwa ile tamtam basi utataja yale majina yote 99 ya muumba mbingu na ardhi.
Yani ikipita siku mbili hajakojoa basi jua ya tatu unaoga kojo imekua tabu kwa kweli adi washikaji siwapeleki getto siku hizi tabu tupu.
Leo nimemwambia narudi zangu hostel za chuo akae peke yake basi kalia hadi huruma.
Msaada jamani anayejua dawa ya kuzuia hii kitu ili ata wale watakao kuja kutafuna apo badae wasikutane na balaa ili.
Dawa ya Kikojozi ninayo ukitaka nimtibu huyo mpenzi wako..
Kwa mawasiliano;
MziziMkavu
Barua pepe: fewgoodman@hotmail.com
What's App +90 534 450 8169