Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,420
- 7,788
Habari wana jf,
Mke wangu ana mtoto wa miezi mitatu 3, hii wiki ya tatu kagoma kunyonya kwa mama yake, akawa anamkamulia kwenye kikombe na kumnywesha lakini bado hataki kunywa, yaani anamnywesha kwa shida sana hadi amepungua sana tofauti na alivyokua awali, tumenunua maziwa ya unga nayo pia hataki kunywa,
Hatujui ana shida gani kwa kweli, na anaonekana yupo vizuri tuu, anacheka, anacheza ila shida hapo kwenye kula tuu, hospital amepelekwa lakini hana ugonjwa wowote
Naombeni msaada madaktari wa humu kama kuna mwenye kujua tatizo la mtoto au tiba yake ni nini aweze kula kama kawaida.
Mke wangu ana mtoto wa miezi mitatu 3, hii wiki ya tatu kagoma kunyonya kwa mama yake, akawa anamkamulia kwenye kikombe na kumnywesha lakini bado hataki kunywa, yaani anamnywesha kwa shida sana hadi amepungua sana tofauti na alivyokua awali, tumenunua maziwa ya unga nayo pia hataki kunywa,
Hatujui ana shida gani kwa kweli, na anaonekana yupo vizuri tuu, anacheka, anacheza ila shida hapo kwenye kula tuu, hospital amepelekwa lakini hana ugonjwa wowote
Naombeni msaada madaktari wa humu kama kuna mwenye kujua tatizo la mtoto au tiba yake ni nini aweze kula kama kawaida.