Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio ni kienyeji zaidi, kuna wazee wanaojua haya mambo.Unaweza nisaidia gharama zake na ni wapi?
Mkuu fafanua, HATARI SANA maana yake nini?Huwa wanakata mitaani lakini ni hatari sana!! Kwani hapo hospitalini wamekuambiaje kuhusu imani ya kukikata? uko mkoa gani? nauliza kwa nia njema lakini
Yule Mzee pale Kariakoo ni SPECIALISTMpeleke kariakoo mtaa wa Mdoe kwa mkata kimeo...Tatizo litaisha Fasta.....Tiba za kizungu sizijui mwafrica mimi!!
Tumia albendazole au mebendazole za majiDawa za minyoo zinaweza kukipoteza?, dawa gani labda