magessa78
JF-Expert Member
- Sep 28, 2009
- 270
- 31
Habari madaktari,
Mtoto wangu anakuwa kama kuna kitu kinamsumbua kufuani.unapomaliza kumpa maziwa anakuwa km anajinyonga kifuani halafu anacheua..ukiyalamba aliyocheua yana ladha ya uchachu km kiungulia vile au acid.sasa sijui tatizo ni nini,na je tufanyeje??msaada wenu pliz
Mtoto wangu anakuwa kama kuna kitu kinamsumbua kufuani.unapomaliza kumpa maziwa anakuwa km anajinyonga kifuani halafu anacheua..ukiyalamba aliyocheua yana ladha ya uchachu km kiungulia vile au acid.sasa sijui tatizo ni nini,na je tufanyeje??msaada wenu pliz