Je hivi sasa mpo Amana, Muhimbili, Hindu Mandal au nyumbani? Ni muhimu mkampeleka mtoto huko mlipopewa referral kwa ajili ya uchunguzi zaidi!
Mimi pia sidhani kama kukakamaa kwa shingo kuna sababishwa na amoxycillin overdose. Hiyo ni shida nyingine ambayo imekuja coincidentally baada ya amoxycillin overdose na inahitaji uchunguzi wa kina!
Je hivi sasa mpo Amana, Muhimbili, Hindu Mandal au nyumbani? Ni muhimu mkampeleka mtoto huko mlipopewa referral kwa ajili ya uchunguzi zaidi!
Mimi pia sidhani kama kukakamaa kwa shingo kuna sababishwa na amoxycillin overdose. Hiyo ni shida nyingine ambayo imekuja coincidentally baada ya amoxycillin overdose na inahitaji uchunguzi wa kina!
Ana miaka miangapi, wa lkike au wa kiume. For me possible ni degedege au sydehams chorea secondary to rheumatic fever. Sasa Hindu Mandal wanashindwa hata kutoa initial dx kutoa panic kwa mzazi. Au Hindu Mandal wa clinical Officers na AMO. Pole sana nenda huko amana yupo Dr Andrew pale ingawa weekends imnaweza isiwe rahisi kumpata
Ana miaka miangapi, wa lkike au wa kiume. For me possible ni degedege au sydehams chorea secondary to rheumatic fever. Sasa Hindu Mandal wanashindwa hata kutoa initial dx kutoa panic kwa mzazi. Au Hindu Mandal wa clinical Officers na AMO. Pole sana nenda huko amana yupo Dr Andrew pale ingawa weekends imnaweza isiwe rahisi kumpata
Mkuu japo mimi si daktari lakini tatizo la mtoto wako lipo kwenye ubongo .kuna daktari mmoja sina uhakika sana na jina lake lakini anapatikana karibu regency hospital ana clinin yake nadhani ukienda pale utapata solution
Ana clinic yake binafsi ipo karibu na regency kwa kweli sina uhakika na jina ni prof wa muhimbili ,ukiwa regency kama unaelekea Njia ya kwenda jangwani mita chache kutoka hapo regency mkono wa kulia kuna njia inachepuka na kuna daycare kubwa nina uhakika ukiulizia utapata mtu wa kukuoneshaAsante mkuu. Sijakuelewa vizuri. Unasema yuko regency hosp na ana private clinic au private clinic ndiyo iko jirani na regency? please please
Ana clinic yake binafsi ipo karibu na regency kwa kweli sina uhakika na jina ni prof wa muhimbili ,ukiwa regency kama unaelekea Njia ya kwenda jangwani mita chache kutoka hapo regency mkono wa kulia kuna njia inachepuka na kuna daycare kubwa nina uhakika ukiulizia utapata mtu wa kukuonesha
Mkuu MziziMkavu njoo saidia tiba mbadala ya shingo kukakamaa. Ushauri wamesema kwa kuanzia tupige degedege huku tukienda vipimo vya ct scan.
hapo kipimo cha kujua ugonjwa ni wa tiba mbadala au ni hospital ikitokea hilo degedege chukua kitunguu saum kiponde mnusishe puani ikiacha haraka hilo degedege ujue tiba mbadala likiendelea haraka hospitalWakuu nilileta post hapa jana ya mtoto mzazi alikosea akaoverdose amoxylin capsule. Ana miaka 8. Walimchemshia maziwa na alipokunywa ghafla shingo ikaanza kukakamaa na ikawa inafanya hivyo kila say nusu saa. Wakamkimbiza Hindu Mandal. Daktari akawaambia hakukuwa na tatizo la overdose. Na kuwa kukakamaa shingo haitokani na dawa hizo. Waneshindwa kuona ugonjwa na wamemoa referal aende amana hosp ili apate referal ya muhimbili. Wataalam tusaidieni please. Tuko katika panic maana hata homa hana na akishaanza kukakamaa jasho mwili mzima
Mkuu dr Barca degedege inashika na 8 years? sifahamu kabisa masuala haya. Hana homa kabisa. Ila tarehe 24 ndiyo aliugua na homa kali na kutapika akapelekwa temeke na kupata amoxycillin. Hakua na malaria. Hata jana Hindu mandal hakukutwa na malari na full blood picture ilikuwa ok except some protin trace. Ilikuwa mchana. Na saa 8 alipewa dose yake ya amoxycillin ila sasa mzazi alipokuwa anampa dawa saa 12 jioni ya anti vommitting akasahau akampa tena amoxyllin. Mama aliporudi after an hour mume akaeleza kilichotokea na immediately akachemsha maziwa ya ng'ombe akampa akanywa na kabla hajamaluza ndiyo shingo ikaanza kwenda upande. Ilianzia kulia kwenda kushoto. Baadaye ikawa inatizama juu tu kwa nguvu na ikianza jasho kubwa na nguvu kubwa sana alikuwa anatumia.