Loeli
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 997
- 763
Wakuu nilileta post hapa jana ya mtoto mzazi alikosea akaoverdose amoxylin capsule. Ana miaka 8. Walimchemshia maziwa na alipokunywa ghafla shingo ikaanza kukakamaa na ikawa inafanya hivyo kila say nusu saa. Wakamkimbiza Hindu Mandal. Daktari akawaambia hakukuwa na tatizo la overdose. Na kuwa kukakamaa shingo haitokani na dawa hizo. Waneshindwa kuona ugonjwa na wamemoa referal aende amana hosp ili apate referal ya muhimbili. Wataalam tusaidieni please. Tuko katika panic maana hata homa hana na akishaanza kukakamaa jasho mwili mzima