Karucee JF-Expert Member Joined Mar 11, 2012 Posts 18,155 Reaction score 34,303 Jan 22, 2017 #21 Red Giant said: kutiririka mafuaa ni kiashiria kikubwa kuwa ni allergy. Click to expand... Aende spitali. Si unaona mtoto wa mwezi mmoja ameshaanza kumpa OTC medicines? Kujiandaa na uzazi sio kliniki tu. Ni mengi aisee hata ya antenatal care ambayo yangejumlisha mafunzo kama haya kwa wazazi na hasa wa mara ya kwanza.
Red Giant said: kutiririka mafuaa ni kiashiria kikubwa kuwa ni allergy. Click to expand... Aende spitali. Si unaona mtoto wa mwezi mmoja ameshaanza kumpa OTC medicines? Kujiandaa na uzazi sio kliniki tu. Ni mengi aisee hata ya antenatal care ambayo yangejumlisha mafunzo kama haya kwa wazazi na hasa wa mara ya kwanza.