Msaada, mtoto anakohoa sana!

kutiririka mafuaa ni kiashiria kikubwa kuwa ni allergy.
Aende spitali.

Si unaona mtoto wa mwezi mmoja ameshaanza kumpa OTC medicines?

Kujiandaa na uzazi sio kliniki tu. Ni mengi aisee hata ya antenatal care ambayo yangejumlisha mafunzo kama haya kwa wazazi na hasa wa mara ya kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…