Msaada: Mtoto ananyonya sana

Habar

Ndugu zangu nina mtoto wa kiume wa miezi 3 ananyonya sana mpaka mama yake anachoka na hashibi, ukimtoa analia.

Na clinic wameshaur mtoto anyonye tu maziwa ya mama hadi afikishe miezi 6

Nini naweza kufanya kumsaidia mtoto na mamake?
Hakikisha mama anakula chakula Cha kutosha so chini ya milo 5 Kwa siku
 
Maziwa ya ng'ombe hapana mkuu. Bado mdogo sana. Atafute ua kopo na ahakikishe siyo feki. Na pia ya kopo anatakiwa ajuwe kuna ya umri tofauti tofauti. All in all, watoto wa kiume wananyonya sana hivyo mama ale vizuri sana kama wengi walivyoshauri.
 
Habar

Ndugu zangu nina mtoto wa kiume wa miezi 3 ananyonya sana mpaka mama yake anachoka na hashibi, ukimtoa analia.

Na clinic wameshaur mtoto anyonye tu maziwa ya mama hadi afikishe miezi 6

Nini naweza kufanya kumsaidia mtoto na mamake?
Mkuu unamuonea wivu mtoto kunyonya matiti ya mke wako? Kwanini usimbumilie tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…