Anavyolinyonya😜
Sio mazuri KWA watoto Yale ni maalumu KWA ajili ya ng'ombe tu uzito wa mtoto wa ng'ombe sio SAwa na uzito wa mtoto wa Mwanadamu.Vp kuhusu maziwa ya ngombe au hayafai pia
Hakikisha mama anakula chakula Cha kutosha so chini ya milo 5 Kwa sikuHabar
Ndugu zangu nina mtoto wa kiume wa miezi 3 ananyonya sana mpaka mama yake anachoka na hashibi, ukimtoa analia.
Na clinic wameshaur mtoto anyonye tu maziwa ya mama hadi afikishe miezi 6
Nini naweza kufanya kumsaidia mtoto na mamake?
aiseeAnavyolinyonya😜
Huwa hunyonyi unavyoipiga mkuu?aisee
kupiga nini ?piga
Tuishie hapo mkuu....nilijua nachat na mtu mzima.Am sorrykupiga nini ?
Kuna Lactogen mkuu number moja kwa mtoto kuanzia mchanga adi miezi sita,kopo ni elfu 23.Asante. Vp kuhusu maziwa ya kopo nielekeze kidogo
yes ninayo ni mama wa watoto wawili, wa kike.Mkuu ushapata experience? Uliolewa not long ago, watoto wangapi tayari?
Mbona wengine tulifanya hivyo, nyonyo miezi sita hakuna uji wala maji.Waulize manesi haohao kama kweli watoto wao wanatimiza miez 6 ndo wanaanza kula
Hongera, fasta sana yani.yes ninayo ni mama wa watoto wawili, wa kike.
😂😂😂 eeh nalea sasa, asanteeHongera, fasta sana yani.
Kwani wale watoto wanaozaliwa na mama zao wanatwaliwa na Bwana inakuwaje ?Huku JF unaweza kuambiwa umlishe makande, fuata ushauri wa wataalamu wa afya
Maziwa ya ng'ombe hapana mkuu. Bado mdogo sana. Atafute ua kopo na ahakikishe siyo feki. Na pia ya kopo anatakiwa ajuwe kuna ya umri tofauti tofauti. All in all, watoto wa kiume wananyonya sana hivyo mama ale vizuri sana kama wengi walivyoshauri.Kiongozi
Inaelekea mama hana maziwa ya kutosha. Jitahidi mama ale vitu vya kumuongezea maziwa.
Kama bajeti haiko vizuri kununua hayo maziwa ya formula, Mwanzishie maziwa ya ngombe (una weka nusu maziwa na nusu maji) mf: unachanganya kikombe kimoja maziwa na kikombe kimoja maji ili yawe mepesi kabisa. Na ikiwezekana upate mtu mwenye ngombe kabisa ili akupe maziwa ya ngombe mmoja (asibadilishe badilishe ngombe) wafugaji wanajua ukimwambia maziwa ya mtoto
Akinywa hayo maziwa yaliyo changanywa na maji akiteremshia na ya mama atakuwa poa kabisa.....
Ni kweli mkuu. Cha kuzingatia ajue kuna maziwa ya kopo kwa umri tofauti.Kwani wale watoto wanaozaliwa na mama zao wanatwaliwa na Bwana inakuwaje ?
Au mama angekuwa mwajiriwa asingeenda kazini ili awe ananyonyosha tu hapo nyumbani ?
Pamoja na mama kula vizuri pia yapo maziwa ya kopo
Hayafai hata kidogo. MsijaribuVp kuhusu maziwa ya ngombe au hayafai pia
We umemshaur vyema,hata Mimi naelewa ivyo.Hapo apewe uji mwepesiii itamsaidia.Ushaanza kumwonea wivu! Mpeni uji mwepesi chuja maji yake mara Tatu then pika
Mama yupo kwanini umpe mtoto maziwa ya kopo?Asante. Vp kuhusu maziwa ya kopo nielekeze kidogo
Mkuu unamuonea wivu mtoto kunyonya matiti ya mke wako? Kwanini usimbumilie tu?Habar
Ndugu zangu nina mtoto wa kiume wa miezi 3 ananyonya sana mpaka mama yake anachoka na hashibi, ukimtoa analia.
Na clinic wameshaur mtoto anyonye tu maziwa ya mama hadi afikishe miezi 6
Nini naweza kufanya kumsaidia mtoto na mamake?