Msaada: Mtoto kachomwa sindano, pajani ndani kama kuna uvimbe

Msaada: Mtoto kachomwa sindano, pajani ndani kama kuna uvimbe

ESPIRIT

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2014
Posts
665
Reaction score
524
Bila kuoteza mda, ni mtoto mwaka na nusu kiumri, wiki ilopita alilazwa kwa ugonjwa, kaandikiwa sindano, nashukuru Mungu ametoka, alimaliza sindano Jumapil ilopita. Lakini mpaka sasa paja linamuuma, ukipashika alipochomwa sindano ndani kama kuna ugumu, alafu anakuwa kama anachechemea.

Je, nimpe dawa gani ili uvimbe upungue?
 
Bila kuoteza mda, ni mtoto mwaka na nusu kiumri, wiki ilopita alilazwa kwa ugonjw, kaandikiwa sindano, nashukuru Mungu ametoka, alimaliza sindano jumapil ilopita. Lakini mpaka sasa paja linamuuma, ukipashika alipochomwa sindano ndani kama kuna ugumu, alaf anakuwa kama anachechemea, je nimpe dawa gani ili uvimbe upungue
Chua na barafu
 
Back
Top Bottom