Msaada: Mtoto kachomwa sindano, pajani ndani kama kuna uvimbe

ESPIRIT

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2014
Posts
665
Reaction score
524
Bila kuoteza mda, ni mtoto mwaka na nusu kiumri, wiki ilopita alilazwa kwa ugonjwa, kaandikiwa sindano, nashukuru Mungu ametoka, alimaliza sindano Jumapil ilopita. Lakini mpaka sasa paja linamuuma, ukipashika alipochomwa sindano ndani kama kuna ugumu, alafu anakuwa kama anachechemea.

Je, nimpe dawa gani ili uvimbe upungue?
 
Chua na barafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…