MSAADA: Mtoto wa miaka minne anachemka sana kwa siku tatu mfululizo. Hospitali alipimwa malaria, hana

MSAADA: Mtoto wa miaka minne anachemka sana kwa siku tatu mfululizo. Hospitali alipimwa malaria, hana

Miaka mingi iliyopita mtoto wangu mmoja alikuwa anachemka ugonjwa hauonekani.

Mwisho Dr. Kyendesya (RIP) pale Mbeya akampanua mdomoni kuchungulia kooni kuna vidonda.

Mpeleke mtoto hosp
 
Jitahidi sanaa dakitari ampe treatment ya kushusha joto la kuchemka na aendelee kumstudy angalao kwa masaa 12. Wakati uchunguzi wa magonjwa mengine yana endelea, usikubali kutudi nyumbani mpaka pale utakavo ona joto limeshuka kabisa.
Sawa mkuu
 
Itakua infection,wangu pia week tatu hizi imemtokea mara mbili.Hii ya pili imekuja na vidonda mdomoni vingi sana na kujiwasha mwili mzima.

Now yuko poa
 
Kwa sasa mpe maji mengi awe anakunywa joto lisimletee madhara kizaidi, ukiwa unatafuta kujua tatizo. Poleni
 
MREJESHO:Kutokana na ushauri wenu,nilimpeleka mtoto hospitali tofauti na ile ya mwanzo.Wametumia BS badala ya MRDT test.Amekutwa na malaria 7.Ameshaanza dozi ya ALU.Nawashukuru sana.

Mungu awabariki sana.

Amina.
Weka update kwenye post namba moja.. Edit
 
Miaka mingi iliyopita mtoto wangu mmoja alikuwa anachemka ugonjwa hauonekani.

Mwisho Dr. Kyendesya (RIP) pale Mbeya akampanua mdomoni kuchungulia kooni kuna vidonda.

Mpeleke mtoto hosp
🙆
 
MREJESHO:Kutokana na ushauri wenu,nilimpeleka mtoto hospitali tofauti na ile ya mwanzo.Wametumia BS badala ya MRDT test.Amekutwa na malaria 7.Ameshaanza dozi ya ALU.Nawashukuru sana.

Mungu awabariki sana.
Hii ilimtokea jiran yangu nalileta hapa mada mtoto kapimwa hospital 2 hakuna maleria ila mzazi alijitoa ufahamu akamuanzishia dozi yamaleria mtoto homa ikashuka
 
yaweza kuwa malaria waambie watumie BS badala ya MRDT
Kabisa mkuu!
Nilitaka kumpa jibu kama hili.
Kuna malaria hazisomi kabisa kwenye hizi kits za malaria, hadi BS

Hapa inahitajika tu uelewa wa Tabibu tofauti na hivyo atahangaika sana
 
Back
Top Bottom