chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Mwambie mama wa mtoto awe anakula matunda Sana na ya aina tofauti, ni tiba tosha mkuu , huhitaji kwenda hospital mkuuRejea kichwa cha habari hapo juu nna mtoto Leo siku 4 hajapata choo ,nlimuona daktari akanambia n kawaida ila nna wasi wasi ,naomben msaada wa kitabibu kwenu madaktari hii hali inasababishwa na nn na nn tiba Yake .natanguliza shukran
Ndio mkuuananyonya vizuri na kushiba?
Nashukuru sana mkuuMwambie mama wa mtoto awe anakula matunda Sana na ya aina tofauti, ni tiba tosha mkuu , huhitaji kwenda hospital mkuu