Huko hospitali baada ya kupima uliambiwa nn? Tuanzie hapo kwanzaHabari za usiku, tafadhali naomba ushauri, mwanangu ana miezi nane alizaliwa na damu 16 ila alipimwa tena akiwa na miezi 4 zilikuwa 14 gafla mwezi wa 7 zikawa damu 8 leo kapimwa tena akiwa na miezi8 damu ipo 7. hana tatizo na aumwi chochote anakula na kunyonya vizuri na uzito wake unapanda vizuri, msaada waungwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hana tatizo lolote zaidi damu kushukavipimo vingine vinasemaje?Hospital walikwambia nin
Sent from my iPhone using JamiiForums
Malaria amechek pia hana, hicho kinywaji kinapatikana wapi ndugu yanguAkapate kipimo cha Malaria .... Pia kuna kinywaji kinaitwa RIBENA ni kizuri nimeponeaga hicho aisee .... Nimewekewa Chupa 14 za damu enz hizo na 7-8 years old ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaftie beetroots umsagie juice uwe una mpa aisee kwa week damu itaongezeka mpaka ushangae. Pia msagieni tembele, au tende unachemsha maziwa fresh then una saga na blenda hizo tende damu itaongezeka
Sent using Jamii Forums mobile app
Anza na tembele hata tende zipo ni cheap sana hafu fata beetroot's sokoni Kariakoo hzo expensive but inaongeza haraka
Asante sana nimekupataPia angalieni na lishe mnayo mpa maana wabongo kwenye mlo kamili kwa mtoto hatujali ukute mwamshindisha na uji au andazi na ugali tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinapatikana Super market ...chupa ndogo inauzwa 6000/= kubwa inauzwa 9000/= anza na ndogo utakuwa unamix na maji kidogo maana ni tamu sana ! Inasaidia kufufua cell zilizo zubaaa kutengeneza damu !! ...Malaria amechek pia hana, hicho kinywaji kinapatikana wapi ndugu yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sanaKinapatikana Super market ...chupa ndogo inauzwa 6000/= kubwa inauzwa 9000/= anza na ndogo utakuwa unamix na maji kidogo maana ni tamu sana ! Inasaidia kufufua cell zilizo zubaaa kutengeneza damu !! ...
Sent using Jamii Forums mobile app