Habari za usiku, tafadhali naomba ushauri, mwanangu ana miezi nane alizaliwa na damu 16 ila alipimwa tena akiwa na miezi 4 zilikuwa 14 gafla mwezi wa 7 zikawa damu 8 leo kapimwa tena akiwa na miezi8 damu ipo 7. hana tatizo na aumwi chochote anakula na kunyonya vizuri na uzito wake unapanda vizuri, msaada waungwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app