Pointi yako ni nini?Je Mama wa mtoto ana bawasiri?
Habari Doctors naomba msaada wenu,
Mtoto wangu anaumwa siku ya sita mpaka sasa lakini anachoumwa ni joto kali la mwili hospital 🏥 wakipima anakuwa na 38.8 za joto na vipimo vyote wamepima Hana tatizo lolote.
Lakini mama yake ana mimba ya miezi nane sasa watu wananiambia wenda ikawa joto la mama yake, mtoto amekataa kula amekataa kunywa na mapigo ya moto yanakwenda mbiyo mno, na ana miaka 2½ naomba msaada wenu.
Inasababisha mtoto kuchemkaPointi yako ni nini?
Sawa mkuu nakushukuruWakati mwingine ni virusi vinaleta homa. Kama mtoto bado anapata homa nu vyema kufanyiwa full physical examination upya na pia kurudia vipimo.
Pia, huwa tunasema vipimi vyote ingawa katika hali halisi huwezi kuganya vipimo vyote siku moja tu. Muhimu arudishwe kwa mtaalamu wa afya kama bado haendelei vizuri.