Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Salaam watu wa hapa
Nina mtoto wangu wa kike ana miaka 6 ,mwezi wa kama sokosei wa 2 aling'oka meno ya mbele upande wa juu na chini
Sasa ya chini yameshaota ila ya juu Yale makubwa mawili hadi Leo hayajaota,je tatizo ni nini
Kuna tiba gani inatakiwa ili yaote maana naona siku zinazidi kwenda dogo haoti meno yaliyong'oka ya juu mbele
Naombeni ushauri wa kitabibu juu ya hili.
Nina mtoto wangu wa kike ana miaka 6 ,mwezi wa kama sokosei wa 2 aling'oka meno ya mbele upande wa juu na chini
Sasa ya chini yameshaota ila ya juu Yale makubwa mawili hadi Leo hayajaota,je tatizo ni nini
Kuna tiba gani inatakiwa ili yaote maana naona siku zinazidi kwenda dogo haoti meno yaliyong'oka ya juu mbele
Naombeni ushauri wa kitabibu juu ya hili.