Mzee wa fact
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 246
- 228
Mtoto wangu ana miezi Saba juzi mama yake amenambia hajawahi kumuona amesimamisha uume,
Ilinichanganya sana akili ilibidi nijipe muda nikakaa naye kama saa mbili hivi asubuhi kuanzia Saa 10 usiku mpaka kunakucha ni kweli mwanangu hakusimamisha😭😭😭😭
Nimejaribu kumpa dawa za kimasai lakini tatizo liko palepale.
Msaada mwenye kujua tiba ya tatizo hili.
Ilinichanganya sana akili ilibidi nijipe muda nikakaa naye kama saa mbili hivi asubuhi kuanzia Saa 10 usiku mpaka kunakucha ni kweli mwanangu hakusimamisha😭😭😭😭
Nimejaribu kumpa dawa za kimasai lakini tatizo liko palepale.
Msaada mwenye kujua tiba ya tatizo hili.