Hii inaitwa upper gastrointestinal bleeding ( Upper GI bleeding ) na hii ni emergency wala hihitaji kuja hapa kuomba ushauri bali mkimbize hospital afanyiwe matibabu ya haraka. Hii inawezekana ikawa ni esophageal varices, ambayo sababu yake hutokana na shida kwenye ini yaani Liver cirrhosis. Lakini pia inawezekana ikawa ni vidonda vya tumbo ingawa angekuwa na maumivu ya tumbo ya mara kwa mara. Kikubwa nenda hospital kubwa afanyiwe vipimo