Heavy equipment
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,456
- 1,005
Habari
Jamani nilikuwa naomba kuelimishwa nini tatizo la kutapika damu iliyoganda.
Kazi zake za kila siku anafanya kama kawaida na hakuna maumivu yoyote anayosikia ila ikifikia wakati wowote anatapika damu iliyoganda, naombeni mnijuze mnaoelewa hili tatizo.
Ahsanteni
Jamani nilikuwa naomba kuelimishwa nini tatizo la kutapika damu iliyoganda.
Kazi zake za kila siku anafanya kama kawaida na hakuna maumivu yoyote anayosikia ila ikifikia wakati wowote anatapika damu iliyoganda, naombeni mnijuze mnaoelewa hili tatizo.
Ahsanteni